Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Huko kwetu uchagani hizi zipo sana...lol
Khaa wale short listed wa uchagani inabidi niwaondoe kabisa kwenye kinyang'anyiro
Huko kwetu uchagani hizi zipo sana...lol
kuna zile ndoa cheap za uchagani ile unabebwa juu juu usiku asubui ushakuwa mwali iyo ndo inanihusu decemberkheee nimegundua wakaka wengi wa jf ni wachungu.
Angalau mmenisaidia kupunguza list yangu ya potential hubbies...
kuna zile ndoa cheap za uchagani ile unabebwa juu juu usiku asubui ushakuwa mwali iyo ndo inanihusu december
kuna zile ndoa cheap za uchagani ile unabebwa juu juu usiku asubui ushakuwa mwali iyo ndo inanihusu december
nitakupim subiri ujue inakuaje? Asubuhi kwa mvulana wanaenda tu kwetu kuwaambia jamani hee smile kalala kwetu msimtafuteheheheh. . . Usiniambie.
Kipande ipi nije na debe la mbege?
hv uku city hzi ndoa hazifai?smile unabahati siendi kurenew passport this time ningekusubiri kibosho road pale dadex
Usiogope swahiba we tangaza nia mie ntajitolea ubani, lizzy mkeka, the boss mchele kg10, klorokwini nyama kg3, uporoto matango na nyanya, asprin ataleta maji kwenye madumu...king'asti atamfunda mwali na kumchora hina, bht atamwazima mwali dera, gaijin atatuletea radio na cd zote za taarab.... Ndoa tayari...kaizer atawapeleka nyumbani na kimkweche chake.
Ondoa wote mpendwa, utafilisiwa arawa...lolKhaa wale short listed wa uchagani inabidi niwaondoe kabisa kwenye kinyang'anyiro
Khaaa sitaki kuamini kama nimekusahau kongosho my lvly friend....mie ntakuwa gate crasher, si haujanipa hata kazi ka kupiga vigelegele
Hahaha, fanya france tafadhali kwa afya ya maharusi...lol
nitakupim subiri ujue inakuaje? Asubuhi kwa mvulana wanaenda tu kwetu kuwaambia jamani hee smile kalala kwetu msimtafute
then kule home wanakuja kuniuliza uko upo kwa nani ???????? Wewe utajibu nini na hapo ndo mwisho wa ndoa karibu sana
Nisaidie basi kumbembeleza mateka wako, manake france yenyewe watapelekwa ya Mafia..lol.wameomba iwe Spain maana hawajui kifaransa