M mancy Member Feb 1, 2010 52 4 May 22, 2011 #21 Je unapokea kazi za tenda malipo baada ya kazi? Kama kuandaa mitihana n.k
SUYA Senior Member Jun 24, 2009 131 21 Jun 7, 2011 Thread starter #22 Ndio kaka hakuna kulala na gharama zetu sio offer ndio bei zetu karibu sana.
golwebo_mkuu JF-Expert Member Mar 31, 2011 2,271 688 Jun 7, 2011 #23 bado gharama ni juu, mnhefanya photocopy 20 na print a4 sh 50
SUYA Senior Member Jun 24, 2009 131 21 Jun 17, 2011 Thread starter #24 Asante kwa ushauri wako ila kwa sasa uwezo huo hatuna kwani bei za vipi zimepanda sana