Mabomu yanalipuka Gongo la Mboto polisi....
Taarifa zaidi kufuatia.
UPDATES:
Hali ni mbaya jijini Dar, nyumba zinabomoka, watu wanakimbia ovyo!
Dah Jamaa wote walioko huko hawapatikani
Mbona hayaishi jamani, nyumba yangu iko hatarini watoto wanalia. Ni mazito mno
Mabomu yanalipuka Gongo la Mboto polisi...
watakuja najipya gani kuhusu tukio hili? anatakiwa mtu aachie ngazi haraka!!!!!:embarrassed::embarrassed:
Pole sana Mkuu labda toka nje ya nyumba msije angukiwa na vitu...Mbona hayaishi jamani, nyumba yangu iko hatarini watoto wanalia. Ni mazito mno