Siwezi kukubali au kukataa kwamba huyu kijana ameshiriki, lakini kuna uhakika gani beyond reasonable doubt kwamba huyu ameshiriki?
kwanza mateso aliyopata kwa miaka kadhaa kule Guantanamo kabla ya kesi yake kwenda mahakamani inamlazimisha kukubali.
Mshtaki ngedere, hakimu ngedere - hukumu ya kweli itapatikana hapo? Kesi yenyewe inaendeshwa kwa kiingereza na ni uhakika kwamba huyu kijana itakuwa amefika Form 3 au Form 4, kiingereza cha mwendo wa kesi huo alikielewa? ndiyo maana alishindwa kujitetea kutokana na kutokuelewa lugha inayoongelewa.
Ningekubali zaidi kama hii kesi ingeendeshwa in one of the European countries (Germany, France, Belgium....) na judge wake kuhukumu hii. Hapo ningeona haki imetendeka.
Tumeona jinsi wenzetu Waingereza walivyoweza kuwatetea raia wao, sisi hata kuulizia mwenendo wa kesi hata siku moja haikufanyika.
Many are yet to follow the bee! What a waste of purpose! What foolish thing he did!I think anajuta for what he was brained washed
until THE King comes!lini this world will be in peace!! God help us..
Because he is a muslim! hahaha, who doesn't know you na Bibi Mkongwe?I will be the last person to believe that justice is done
The processes, the pressure, all ni kiini macho tu.
Kiyama ndio kutakuwa na fair play
Because he is a muslim! hahaha, who doesn't know you na Bibi Mkongwe?
Yes because he is muslim, prosecuted by christians, using false allegations
Topical at his/her best! :clap2:false allegation wakati yeye he is proud of serving for Osama?
false allegation wakati yeye he is proud of serving for Osama?
Osama is a myth dude! open your closed mind!
Justice will be on the last day, judgement day! we will wait and you wait with us.