Ghadaph wasamaria wema tuko nyuma yako kwa sala endelea kupambana!

msoviet

New Member
Aug 19, 2011
3
0
Wakati wananchi wote ulimwenguni masikio yao yote wametega huko libya dhidi ya waasi wanao msumbua ghadaphi bila kosa, je mahamuzi aliyo fanya Rais wa zimbambwe Robart mugabe kumtimua balozi wa libya kwa kosa la kushusha bedera inayo tambulika,na je Waziri wa mambo ya nje bwana Benardi Membe kumuita balozi wa libya kwa kosa hilo je hawa wawili wana makosa gani?. na pia nashukuru waziri membe kuliona hilo kwani ghadaphi mambo yake yalikuwa makubwa na mazuri tumeshuhudia Rais wetu akiadhimisha sherehe za mwezi mtukufi kwenya msikiti wa msaaada wa ghadaphi. Swali langu sasa hawa waasi wanaomnyanyasa ghadaphi wanajuwa wanacho kifanya na kama hawajui tuwasaidie je? naitaji mchango wenu
 
Wakati wananchi wote ulimwenguni masikio yao yote wametega huko libya dhidi ya waasi wanao msumbua ghadaphi bila kosa, je mahamuzi aliyo fanya Rais wa zimbambwe Robart mugabe kumtimua balozi wa libya kwa kosa la kushusha bedera inayo tambulika,na je Waziri wa mambo ya nje bwana Benardi Membe kumuita balozi wa libya kwa kosa hilo je hawa wawili wana makosa gani?. na pia nashukuru waziri membe kuliona hilo kwani ghadaphi mambo yake yalikuwa makubwa na mazuri tumeshuhudia Rais wetu akiadhimisha sherehe za mwezi mtukufi kwenya msikiti wa msaaada wa ghadaphi. Swali langu sasa hawa waasi wanaomnyanyasa ghadaphi wanajuwa wanacho kifanya na kama hawajui tuwasaidie je? naitaji mchango wenu
<br />
<br />
anza na boliti lako halaffu ndio umalizie kijiti cha mwenzio..
 
Leo ndio nimepata tafsiri nzuri ya waislamu kwamba mtu mzuri ni yule anaejenga misikiti!!,......tukiwa na raia kama huyu wakafikia idadi ya 30% ya Watanzania wote basi tusahau kufanya mageuzi ya kiuchumi. huyu ni mfu ingali yu hai.
 
unamsaport mtu anayetaka kukaa madarakani milele na akitoka ampe mwanaye kweli akili kila mtu anazake waacha apoteee gadafi mpuuzi huyu!
 
Wakati wananchi wote ulimwenguni masikio yao yote wametega huko libya dhidi ya waasi wanao msumbua ghadaphi bila kosa, je mahamuzi aliyo fanya Rais wa zimbambwe Robart mugabe kumtimua balozi wa libya kwa kosa la kushusha bedera inayo tambulika,na je Waziri wa mambo ya nje bwana Benardi Membe kumuita balozi wa libya kwa kosa hilo je hawa wawili wana makosa gani?. na pia nashukuru waziri membe kuliona hilo kwani ghadaphi mambo yake yalikuwa makubwa na mazuri tumeshuhudia Rais wetu akiadhimisha sherehe za mwezi mtukufi kwenya msikiti wa msaaada wa ghadaphi. Swali langu sasa hawa waasi wanaomnyanyasa ghadaphi wanajuwa wanacho kifanya na kama hawajui tuwasaidie je? naitaji mchango wenu
Unfortunately Gadhafi is done.
As much as you like him, he's old news and history now.
He'll continue to record his messages on the tapes to be aired now and then just like Osama. Eventually CIA will be able to capture him just like what happened in Abbottabad. One thing I know is that CIA will not toss his body in the Mediterranean sea. He'll be handed to the Libyan interim government to be sentenced to death by hanging like Saadam
 
Gadafi hana jpya kwa walibya angekuwa na akili angejiuzuru mapema lakin sasa asubiri kuabishwa zaid na misikiti sio ktu.
 
Umekosea jukwaa. Hii thread ipeleke jukwaa la siasa.
 
Hapa Sijui nimepotea njia au? ''niko hahe!!! niongee kihindi pia
Nijuavyo mimi Gaddafi anapumulia Machine iweje mtu anasema yupo nyuma yake ni kwamba atashinda au?
Au Mtoa Post ni Membe kiaina?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom