Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
Kuna habari kuwa baada ya baraza la mpito NTC kutangaza kitita cha midola kibao kwa atakaye muua au kumkamata Ghadaffi, jamaa katuma meseji ifuatayo kwa kiongozi wa baraza hilo.
aisee baba angu, hizo pesa ni kweli au mnatania tu? basi kwa kuwa mmekwisha jua akaunti zangu za uswisi ninyi dipositini hata nusu mimi nitajiua mwenyewe na hizo nusu mtammalizia islam akiwaletea maiti yangu.
aisee baba angu, hizo pesa ni kweli au mnatania tu? basi kwa kuwa mmekwisha jua akaunti zangu za uswisi ninyi dipositini hata nusu mimi nitajiua mwenyewe na hizo nusu mtammalizia islam akiwaletea maiti yangu.