Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
kila nikikutafuta unasema uko mbali na dar.....mbali ni wapi? ahera??
Bibie Mwali, mara hii tu kuambiwa ufanye mtihani wa kabla ndoa ndo watu wote tulioleta posa unatukana machana mchana?
Mi napatikana Tanga, ushongo
hujaona hapo status yangu???