Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Nimepata nafauu wapendwa niko mtandaoni sasa.
Asanteni sana wapenzi
Kazana kula sasa uvuke hizo kilo 38 uongezeke mara dufu
Nimepata nafauu wapendwa niko mtandaoni sasa.
Asanteni sana wapenzi
Kazana kula sasa uvuke hizo kilo 38 uongezeke mara dufu
kuna gazeti la udaku humu. Peleka kule.
naumwa mafua, nimekunywa ile juice kutuliza.
View attachment 44605
Karibu sana!
Thanks my Dear.........................
yani twiny ukiumwa na mimi hoi welcum back we missed u lots.
Pole D.A.
Mungu akurudishie afya na uzima tele.Pole sana kwa kula xmas kwa style hii.
Vipi kama kuna nguo chafu na vyombo usihangaike nakuja kufua na kukuoshea vyombo hivyo.Nipo kwa ajii yako.
Hy lazima nikashangaa hupokei simu yangu
Wengine mkiumwa huwa mnakuwa wabishi kwenye KULA- BONA PETIT!!