Get Well Soon Dena Amsi...

Dena, nakutakia upone haraka na urudi katika hali ya kawaida.

Nakukumbuka kwa busara zako wakati wa tatizo langu la mwaka jana.
 
Bishanga heri ya mwaka mpya
Nimesubiri sana lile vogue lako ulilete kwa TF mpaka nimechoka
Kama ni kukesha nimepitiliza sasa
 
Wapendwa wote nawashukuru but nimekatazwa kuwa na simu wala laptop nahitaji kupumzika kwa sana. Happy New Year to u all me penda wote sana.
halafu shem ujue mi ndo niko bize napambana na wanao chakachua uzi wa TF,we acha tu,mambo? Uji umetelemka? Asubuhi nikuletee nini uji wa ulezi? Kashata? Kitumbua cha mchele au chai yenye chumvi kidogo?
 
Jamani! Haya magonjwa yanatatiza sasa!
MUNGU MWENYE MAMLAKA! Natumia nafasi hii kukushukuru maana yote haya ni mpenzi yako!

Na nitaenda kinyume tena kama ni mamlaka ya shetani,nasema hana nafasi kwa huyu ndg yetu kuwepo hapo,naondosha nguvu yote ya pepo wabaya nasema hamna mamlaka kwa jina Yesu Kirsto! Mwachie sasa,mwachie sasa ndg yetu awe huru, toka pepo toka,huna mamlaka kwa mji wa walio hai! Toka pepo,toka pepo na urudi kuzimu ndiyo makao yako! Kwa jina la Yesu Kirsto hauna Mamlaka kamwe! Shindwa pepo,shindwa pepo! Dena Amsi uko huru kwa uwezo MUNGU kupitia jina la mwanae Yesu Kirsto mwenye mamlaka Dunia na Mbinguni! Na uwe na wakati mzuri kwa Jina la Yesu Kirsto Bwana! Amen!
Eimen alleluhya,naona nuru ya Bwana inamuangazia Dena pamoja na mazambi yake kibao kulalalleki!!!!
 
Bishanga heri ya mwaka mpya
Nimesubiri sana lile vogue lako ulilete kwa TF mpaka nimechoka
Kama ni kukesha nimepitiliza sasa
Mkuu niko bize nahangaikia kupata chata ndege ya kumpeleka Dena st thomas landani,si unajua ni li shem langu la nguvu??
 
QUOTE=Bishanga;3065953]Mkuu niko bize nahangaikia kupata chata ndege ya kumpeleka Dena st thomas landani,si unajua ni li shem langu la nguvu??[/QUOTE]
Nilijua ni saint thomas ya hapa Atown
Ahhh haya mkuu naendelea kukesha kwa TF mpaka ahadi itimizwe
 
QUOTE=Bishanga;3065953]Mkuu niko bize nahangaikia kupata chata ndege ya kumpeleka Dena st thomas landani,si unajua ni li shem langu la nguvu??
Nilijua ni saint thomas ya hapa Atown
Ahhh haya mkuu naendelea kukesha kwa TF mpaka ahadi itimizwe[/QUOTE]
huyo TF mhuni tu,michango yote ya kumuuguzia dena kala huyo!
 
Get well soon mamy... wish you a very prompt reestablishment!

bibie umeniponza hamu na ww sina..ban nilillamba...ila nakupenda


rbag hatari, hendisamu, andy surlbaran, mahundi jr na sasa sina nyama we mwanamke ww dah
 
Nilijua ni saint thomas ya hapa Atown
Ahhh haya mkuu naendelea kukesha kwa TF mpaka ahadi itimizwe
huyo TF mhuni tu,michango yote ya kumuuguzia dena kala huyo![/QUOTE]

Halafu sadaka za xmass na mwaka mpya kakusanya na kutokomea hatujui aliko.
 
Today is a New year but unfortunately not all of us are in good Health to Celebrate.... Our fellow Member Dena Amsi has been hospitalised since X-Mas and has returned from hospital today feeling a bit better.

Dena Amsi we Miss you at MMU and on behalf of all the MMU family we Pray that you Get Well Soon.

HAPPY NEW YEAR TO YOU ALL and to you Dena Amsi.


getwellfruitbasket2-full.jpg

Get well soon, you are my favourite
 
Pole sana DA....Uugue pole.

Asa TF nduguyo nimelazwa apoapo karibu na kwako mbn hukuniwekea sredi let alone kuja niona na mie?, au ndo mambo ya double standard?, hahahaha!
ww usiseme ugua pole, atachelewa kupona! Sema hivi pona haraka! Pokea uponyaji mwayego Dena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom