Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
we kipipi we,kwa nini hujantumia hepi nyu yia?mwone ntaacha kukuletea mgao wa kloriti na ambi!Jamani best friend....pole mwaya! Mwenyezi Mungu akusaidie upone haraka!
we kipipi we,kwa nini hujantumia hepi nyu yia?mwone ntaacha kukuletea mgao wa kloriti na ambi!Jamani best friend....pole mwaya! Mwenyezi Mungu akusaidie upone haraka!
wifi yako kwa nani? Tena...........Pole saana Dena my Wifi..... Get Well Soon.
:flypig:....HAPPY NEW YEAR DEAR...:flypig:
halafu we kongosho nakutafuta,2012 mpaka kieleweke!Get well soon DA.
Ohhhh pole DA. Get well soon. . .
halafu shem ujue mi ndo niko bize napambana na wanao chakachua uzi wa TF,we acha tu,mambo? Uji umetelemka? Asubuhi nikuletee nini uji wa ulezi? Kashata? Kitumbua cha mchele au chai yenye chumvi kidogo?Wapendwa wote nawashukuru but nimekatazwa kuwa na simu wala laptop nahitaji kupumzika kwa sana. Happy New Year to u all me penda wote sana.
mambo mtoto?Pole sana da dena,
Pole my twin,.mwenyewe hoi kitandani naumwa!I wish u a quick recovery
Eimen alleluhya,naona nuru ya Bwana inamuangazia Dena pamoja na mazambi yake kibao kulalalleki!!!!Jamani! Haya magonjwa yanatatiza sasa!
MUNGU MWENYE MAMLAKA! Natumia nafasi hii kukushukuru maana yote haya ni mpenzi yako!
Na nitaenda kinyume tena kama ni mamlaka ya shetani,nasema hana nafasi kwa huyu ndg yetu kuwepo hapo,naondosha nguvu yote ya pepo wabaya nasema hamna mamlaka kwa jina Yesu Kirsto! Mwachie sasa,mwachie sasa ndg yetu awe huru, toka pepo toka,huna mamlaka kwa mji wa walio hai! Toka pepo,toka pepo na urudi kuzimu ndiyo makao yako! Kwa jina la Yesu Kirsto hauna Mamlaka kamwe! Shindwa pepo,shindwa pepo! Dena Amsi uko huru kwa uwezo MUNGU kupitia jina la mwanae Yesu Kirsto mwenye mamlaka Dunia na Mbinguni! Na uwe na wakati mzuri kwa Jina la Yesu Kirsto Bwana! Amen!
Mkuu niko bize nahangaikia kupata chata ndege ya kumpeleka Dena st thomas landani,si unajua ni li shem langu la nguvu??Bishanga heri ya mwaka mpya
Nimesubiri sana lile vogue lako ulilete kwa TF mpaka nimechoka
Kama ni kukesha nimepitiliza sasa
pole Mkuu,nakutakia a quick recovery!Pole my twin,.mwenyewe hoi kitandani naumwa!I wish u a quick recovery
Nilijua ni saint thomas ya hapa AtownQUOTE=Bishanga;3065953]Mkuu niko bize nahangaikia kupata chata ndege ya kumpeleka Dena st thomas landani,si unajua ni li shem langu la nguvu??
Get well soon mamy... wish you a very prompt reestablishment!
huyo TF mhuni tu,michango yote ya kumuuguzia dena kala huyo![/QUOTE]Nilijua ni saint thomas ya hapa Atown
Ahhh haya mkuu naendelea kukesha kwa TF mpaka ahadi itimizwe
Today is a New year but unfortunately not all of us are in good Health to Celebrate.... Our fellow Member Dena Amsi has been hospitalised since X-Mas and has returned from hospital today feeling a bit better.
Dena Amsi we Miss you at MMU and on behalf of all the MMU family we Pray that you Get Well Soon.
HAPPY NEW YEAR TO YOU ALL and to you Dena Amsi.
ww usiseme ugua pole, atachelewa kupona! Sema hivi pona haraka! Pokea uponyaji mwayego DenaPole sana DA....Uugue pole.
Asa TF nduguyo nimelazwa apoapo karibu na kwako mbn hukuniwekea sredi let alone kuja niona na mie?, au ndo mambo ya double standard?, hahahaha!