Umejua nini katibu muhtasi wangu?nilijua tu
Nani alikudanganya hangover ni ugonjwa? Manina wallah, mpaka sasa naona maruweruwe.... Gines shenzy sana!!Ushaanza homa za mara kwa mara eeh? Kila mara unagonjeka wewe. Usije ukatuulia bibi tafadhali!
Nani alikudanganya hangover ni ugonjwa? Manina wallah, mpaka sasa naona maruweruwe.... Gines shenzy sana!!
Na nikitoka hapa naenda kuzilipizia kisasi...
Haziwezi onea ODM namna hiii.
Manina na nusu.
Umejua nini katibu muhtasi wangu?
Hahah...mi ntaomba kuwa nakubebe vifaa vya ukaguzi -mjukuu mwenza, approved by babu Asprin!
Pole sana BADILI TABIA we unaomba wakati wenzio tushamilikishwa poyeeeee
wa kutoa kwenye chama huyu, kama hangover hadi aambiwe get well soon, hatufai
Kajifunza ukubwani hayo mambo hayawezi,
ni heri tu amfuate Bwana.