Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
kuna avatar flani ulikuwa unatumia kati ya mwezi wa nane-na wa nne 2010-2011 respectively
imekaa kiafica with natural colours
Marytina unanitesa sasa, sijui iko wapi?
kuna avatar flani ulikuwa unatumia kati ya mwezi wa nane-na wa nne 2010-2011 respectively
imekaa kiafica with natural colours
dena ndiyo tabia gani hiyo ya kujificha hapa JF?
I MISSSED U ALOT yaan nataman tungelala wote tupige stori usiku mzima
wewe utakuwa mwanaume wa dar ndio maana kila sekunde unawazia machine za kibaiologiahiyo miaka mbili jela lazima utatoka machine imechakachuliwa,na HIV juu
No one can earn a million dollars honestly!Get rich or die trying oa
@arusha,mama mchagga,baba mngoni.
heri ya mwaka mpya wana JF
Ikumbukwe nina elimu ya kuungaunga, kwa hiyo haitatokea niwe bosi
...sina hulka ya wizi/ujambazi.Hapa ofisini nina take home ya 520000/= , hii kampuni huwa na NOT BELOW dola U$400,000 kama makusayo in a single day, ni wakwepa kodi sana kwa hiyo tuna namna yetu ya kurekodi figure za chini sana..
bosi mkuu katokea kuniamini, Naweza kuziiba kwa KUONDOKA NAZO KWENYE MKOBA WANGU na wakashtuka baada ya siku mbili kuwa kuna upungufu.
Nimeongea na mawakili wanne kutoka Law firm tofauti kuhusu adhabu ya kihasibu nayoweza kupata kutokana na upotevu huo, ni miaka isiyozidi miwili.Boyfriend wangu yupo ubelgiji masomoni nimemweleza MPANGO WANGU KANIKATALIA
Wana JF!!
1.hivi Marytina ntavumilia kuona wadogo zangu wakipokea virungu kisa wanaandamana kudai fedha BODO YA MIKOPO MPAKA LINI??
2.Sihitaji official ruhusa kutoka kwa BF I AM JUST LETTING HIM TO KNOW JUU YA MPANGO WANGU pasipo yeye kuweka neno
3.Kwa mshahara wangu lini ntapata hiyo hela???mimi sitaki watoto wangu waje kukulia kwenye umaskini iwe hata kwa kukaa jela kwa muda
Haijarishi kumuona ni dollar, ngapi cha msingi lazima ujuwe huyu ndio yuko nyuma ya mafanikio ya kina Rostam Aziz, kabla ya wizi wowote huyu utoa ushauri wa kisheria jinsi ya kuiba na kutumia pesa bila mkono wa sheria kukugusa.
Nafikiri umefikia wakati sasa wa kutumia akili kuingiza pesa na sio kutumia maguvu na kubebeshwa mabox tu. kumbuka huu sio wizi, hapa mjini hizi tunaziita Filmeee!!
Hahahah....ndio maana watu wa Arusha hamuaminiki!!
Hapa tupo chit chat bana...mambo ya CCM yanatoka wapi?wa ccm mnaaminika!
mcharuko kivipi??? hapa nawaonea huruma wadogo na watoto ntakaowazaa kuja kuishi kwenye umaskini..marytina nikwambie kitu?we nouoooooomaaaa!!!!! Kama mcharuko we ndo basi,du!
mimi sio mwizi ila siwezi acha kuiba kwenye hali kama hiiwa ccm mnaaminika!
Hapa tupo chit chat bana...mambo ya CCM yanatoka wapi?
receipts zetu kwa siku zinaonesha tunapata U$ 70 tuww usiibe ziangalie, ila hivi karibuni zitakuja kuibiwa na ww unaweza kwenda jela pia!
DP proffessionally mimi sio mhasibu ila nasaidiwa na elimu zangu za kuungaungaDah!
Natamani ningekua mhasibu.
ulikuwa kijiji ipi kusipo na mtandao???Nilikumiss aje msichana????
Mbona nipo my dear