EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Hilo liko wazi mkuu,tuna mafisadi wadogo wadogo wengi sana,na wanaligharimu taifa vibaya sana!
kaka ufisadi nchi hii hauwezi kuisha...kuna kiongozi mmoja tena mkubwa sana ni jrani yangu...huwa anapinga ufisadi sana tena hawapendi kabisa yaani yeye anaamini kuwa mafisadi ni wale waliokwapua epa, richmond nk....pale kwake halipii bili ya maji maana amehatibu mita ki-ujanja ujanja...na umeme pia luku imechakachuliwa..siku zote inasoma unit zile zile 45.6.....
Kazi tunayo. Baadhi ya watu wanadai Tanesco inaweza kujiendesha yeneywe kama sio uchakachuaji toka kwa customers. Halafu wakipandisha bei ya umeme, wachakachuaji ndio wanakuwa wa kwanza kulalamika.