C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Juzi kati nilikuwa natoka kazini sasa kwa bahati mbaya ka mkweche changu kakaharibika mitaa ya manzese big brother ilikuwa ni mida ya saa kumi na mbili sasa nikakapeleka kwa fundi pale shiughuli ikamalizika kama kwenye saa tatu sasa nikaona uvivu kurudi kwangu tegeta nikaona isiwe tabu ngoja nichukue guest then nitaenda home kesho yake coz ilikuwa jumapili
sasa bwana wakati nachukua chumba kwenye moja ya guest kama unaenda mabibo iko bara barani nilishangaa napokueliwa na madada kama 4 hivi nikajiuliza hawa wote wahudumu? walikuwa wamevaa khanga moja wengine sasa mziki ikawa ni kelele kila saa watu wanaingia na kutoka nilishindwa kulala aisee coz guest zetu nadhani unazijua kukuru kakara za chumba kingine wewe unazisikia sasa nikajiuliza ina maana guest nyingi zina hii huduma??
wenye guest wanajua?
kuna jamaa yangu mmoja aliniambia kwa sewa wanafanya hayo mambo??
jamani kuna mtu anajua guest nyingine wanaoufanya huu ushenzi tuwaumbue kwa serikali maana ni aibu
sasa bwana wakati nachukua chumba kwenye moja ya guest kama unaenda mabibo iko bara barani nilishangaa napokueliwa na madada kama 4 hivi nikajiuliza hawa wote wahudumu? walikuwa wamevaa khanga moja wengine sasa mziki ikawa ni kelele kila saa watu wanaingia na kutoka nilishindwa kulala aisee coz guest zetu nadhani unazijua kukuru kakara za chumba kingine wewe unazisikia sasa nikajiuliza ina maana guest nyingi zina hii huduma??
wenye guest wanajua?
kuna jamaa yangu mmoja aliniambia kwa sewa wanafanya hayo mambo??
jamani kuna mtu anajua guest nyingine wanaoufanya huu ushenzi tuwaumbue kwa serikali maana ni aibu