babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Pamoja na matumaini makubwa ya kupata gesi hapa nchini na kutokuwa na sera madhubuti kuhusu gesi, limeibuka tatizo jingine katika miradi ya gesi nchini. Visima vingi husalisha kiasi kidogo kwani mahitaji ni machache mno.
Tatizo hilo limekuja kufuatia hazina kubwa kuzidi kuvumbuliwa kila kukicha ilihali matumizi yake hapa nchini yakiwa kidogo.
Hii imetokana na serikali kushindwa kusambaza gesi hyo katika mikoa mingi hapa nchini. Sasa kumbe kuwa na gesi ni jambo moja na jinsi ya kuitumia ni kitendawili kingine.
Mchango wako nini tuifanyie gesi yetu tusijechekwa na walimwengu.
Chanzo: IPPMEDIA.
Tatizo hilo limekuja kufuatia hazina kubwa kuzidi kuvumbuliwa kila kukicha ilihali matumizi yake hapa nchini yakiwa kidogo.
Hii imetokana na serikali kushindwa kusambaza gesi hyo katika mikoa mingi hapa nchini. Sasa kumbe kuwa na gesi ni jambo moja na jinsi ya kuitumia ni kitendawili kingine.
Mchango wako nini tuifanyie gesi yetu tusijechekwa na walimwengu.
Chanzo: IPPMEDIA.