CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
habar wanajamvi, lait kama gesi ya majumbani ingelikuwa inapimwa kwa kias kidogo km tupimavyo mafuta may b kilo moja na kuendelea. leo nimepata shida kwn nimeishiwa gesi afu ni ucku i have no alternative. kwann wasipime kias kidogo kidogo?