Gesi ya kulipa mara moja unatumia milele

COSTECH walishafanya utafiti wa hii mitambo ila sema wao walikuwa wakijengea nje. Nafikiri walifikia hatua kubwa tu kwa kuzalisha Gas nyingi (BIOGAS) na nakumbuka kuona picha za gazeti la Daily News mfanyakazi wa COSTECH akimuonyesha Hayati baba wa Taifa hiyo mitambo inavyofanya kazi na ilikuwa ni wakati Nyerere bado ni Rais wa Tanzania.

Nashindwa kuelewa waliishia wapi hawa COSTECH na utafiti huo kuwa Boss wao, Kayumbo akaja Msangi sijui na wengine waliokuwepo hapo hadi huyu mpya aliyekuja sasa.

Nafikiri pale COSTECH kuna vitu vingi sana vimelala tu ambavyo vingeliokoa maisha ya Watanzania kwa wingi. Sasa hebu angalia vijijini ambako mabaki ya vyakula kibao na maji, Gas ingelikuwa ya kumwaga.

Asante sana Mkuu kwa hizi habari. Itabidi hata sisi wa Sikonge tufanye mpango kuweka hapa SIKONGE HOSPITAL. Kuna kijana fulani niliambiwa ana mpango kama huo huo Kigoma ila sijapata habari kamili amefikia na kufanikiwa vipi.
 
SimGas u are welcome
Orxy.... bye bye
Manji's Gas.... bye bye
Lake gas....... bye bye!
 
habarini ndugu zangu gesi550 ni jina la gesi ya biogas inayo tengenezwa na kuzwa kama gesi zingne tofauti ya gesi hii tuna kupa na mtambo wa kuendelea kuzallisha gesi hadi mwisho wa maisha yako.mtambo uko kama simtank ,ukisha nunua mafundi wanakuja kukusetia.pamoja na jiko la plate mmoja bure na warrant na matengenezo au service kwa miaka miwili.ukisha setiwa mtambo ili kuendelea kuzalisha gesi unatakiwa uweke mabaki ya chakula kama nyanya vitungu maganda ya viazi nk.kiasi cha nusu kilo ndani ya mtambo na maji ili kuzalisha gesi .gesi hii haina madhara kwa mazingira wala majanga ya kulipuka kama gesi zingine yanai hailipuki.mtambo hu ambao una shape ya simtank metengenezwa kitalamu gesi ii isha unaona na iijaa unaona.pia mtambo unapo zalisha gesi inatoa mbolea ambayo hainuki kabisa kama unabustani au mazao unaweza kutumia kwa mbolea. Mtambo huu au gesii hii inauzwa laki 550 .unaweza lipa kwa instalment au cash au ukatumia bank kulipa kidogo kidogo chini ya uwangalizi wa bank husika.

Kwa maelezo zaidi au kununa piga 0767746427 au 0779747427 au 0658746427 .usi ni PM piga hizo namba

love it,so uwo mtambo(simtank) movable au fixed , pili ukimia jiko la gasi la kawaida au kuna jiko lake maalum.
 
Mleta hoja hebu njoo tena bado tuna kiu, mi naomba kuuliza jiko hilo linaweza kuhudumia watu wengi kwa mara moja, mfano watu 40 hivi, naweza kulitegemea bila kuhitaji backup?
 
Technologia hii isiishie Dar tu, tunataka mje huku mikoani pia, kama Arusha, Manyara, Kilimanjaro nk.
 
Nilitamani kujua kuhusu
1/Gas inayozalishwa inaweza kuhifadhiwa(kama kwenye mtungi) ili wakati wowote unapohitaji kutumia jiko uweze kutumia pasipo kuweka mabaki ya chakula tena kwenye tanki.

2/Kama gesi uliyozalisha ni nyingi kuliko uhitaji wako wa nishati kwa wakati huo, itakwenda wapi?(Itapotea hewani au itajihifadhi?)
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kuna kitu hatuelewani chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuwalisha wadudu wanai wekwa ndani ya mtambo kwa mara ya kwanza hvy biogas yetu haisubiru hadi vyakula ulivyo weka vioze ndio upate gesi chakula ni chakuwalisha wadudu wanaozalisha gesi hyo.kwa hyo kaka acha ubishi mtamb hu si digester .
I can see unaanza kutoa siri! Imeshapita kitambo sasa tangu hili bandiko liletwe humu, vipi bado hizo simgas (systems) zipo?
 
hii issu ya bio gas the way inavyosemwa inaoneka ni kitu kizuri na imeanza kuzungumzwa muda mrefu lakini kama is so cheap,so good why is not popular?
 
Mkuu wangu Babaubaya nakwambia nimefurahi kiasi sina maelezo ya kutosheleza kuelezea furaha yangu nakwambia mtungi wa gesi wa kilo 15 sasa ni btw 52,000 - 54,000/=@ mbona watakoma sijui wataingia lini Arusha wanifungie huo mtungi haraka bila kuchelewa.

SimGas u are welcome
Orxy.... bye bye
Manji's Gas.... bye bye
Lake gas....... bye bye!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu englibertm hii kitu itakuwa popular once wakianza kujitangaza na kujitanua mikoani.Nadhani pia kiwango cha tsh 500,000/= kinaweza kuwa shida kwa wananchi wengi hasa ukizingatia wale wanaoishi chini ya dollar 1 kwa siku.

hii issu ya bio gas the way inavyosemwa inaoneka ni kitu kizuri na imeanza kuzungumzwa muda mrefu lakini kama is so cheap,so good why is not popular?
 
Last edited by a moderator:
jamani kama kuna mtu anayetumia kwa sasa atupe uhondo na sisi tukanunue.
 
jamani kama kuna mtu anayetumia kwa sasa atupe uhondo na sisi tukanunue.

Mkuu si ujitoe mhanga ili uje utupe uzoefu?!! Nafikri itapendeza kama utakuwa wa kwanza ili tukufanyie mazoezi!!
 
habarini ndugu zangu
gesi550 ni jina la gesi ya biogas inayo tengenezwa na kuzwa kama gesi
zingne tofauti ya gesi hii tuna kupa na mtambo wa kuendelea kuzallisha
gesi hadi mwisho wa maisha yako.mtambo uko kama simtank ,ukisha nunua
mafundi wanakuja kukusetia.pamoja na jiko la plate mmoja bure na warrant
na matengenezo au service kwa miaka miwili.ukisha setiwa mtambo ili
kuendelea kuzalisha gesi unatakiwa uweke mabaki ya chakula kama nyanya
vitungu maganda ya viazi nk.kiasi cha nusu kilo ndani ya mtambo na maji
ili kuzalisha gesi .gesi hii haina madhara kwa mazingira wala majanga
ya kulipuka kama gesi zingine yanai hailipuki.mtambo hu ambao una shape
ya simtank metengenezwa kitalamu gesi ii isha unaona na iijaa unaona.pia
mtambo unapo zalisha gesi inatoa mbolea ambayo hainuki kabisa kama
unabustani au mazao unaweza kutumia kwa mbolea. Mtambo huu au gesii hii
inauzwa laki 550 .unaweza lipa kwa instalment au cash au ukatumia bank
kulipa kidogo kidogo chini ya uwangalizi wa bank husika.

Kwa maelezo zaidi au kununa piga 0767746427 au 0779747427 au 0658746427
.usi ni PM piga hizo namba

Weka picha!
 
love it,so uwo mtambo(simtank) movable au fixed , pili ukimia jiko la gasi la kawaida au kuna jiko lake maalum.
NI fixed coz ni kubwa kama simtank la kawaida lilivyo unatafuta tu sehemu nzuri ya kuweka .unavyo nunua una pewa na jiko lake malumu kwa ajili ya hii gesi
 
Back
Top Bottom