Kampuni ya Simgas Tanzania limited, itafanya maonesho ya gesi yake ya kutumia taka na mabaki ya chakula ( Gesi 550), Mlimani city kuanzia tarehe 31 may hadi 3 june. Wadau wote watakaopenda kuona mtambo huo wa gesi, wanakaribishwa katika viwanja vya Mlimani city, geti la kuingilia kama unaenda survey, karibu na bakery ya Fairy Delight kuanzia asubuhi hadi jioni.
For more info bip; 0767 746 427, 0658 746 427, 0684 747 427, 0779 747 427
For more info bip; 0767 746 427, 0658 746 427, 0684 747 427, 0779 747 427