German firm Strabag wins $137.8m bid for Dar roads, flyovers

Nyegezi mwanza imewezekana its 14 kms fro town kwa hiyo ya Bunju siyo ishu tena

Issue Hapa ni Movement kwa jiji la Dar Ni Very Poor!! Na Bunju is like another world. Fikiria tu Ubungo, watu wanaotoka mbagala kwenda Mbeya na Mikoa mingine wanalazimika kulala stend ya Ubungo au Guest House ili waweze kuwahi mabasi Kesho yake!! Kwa hiyo Kabla Hujalinganisha na Ulaya Fikiria Kwanza Upo Bongo!! Nchi ambayo ni Very poor in Planning!
 
Wapinga maendeleo watakuja kusema huu mradi ilikuwa kwenye mpango muda mrefu kabla ya JK.

Ndio ukweli wenyewe huo. Huu mradi umeanza zamani ila naona sasa hadithi zake zinakaribia kuisha. Ni brain child wa Mzee Sykes meya wa zamani wa jiji la Dar es salaam ambaye alinyang'anywa uongozi wa DART katika mazingira ya kutatanisha akakabidhiwa huyu CEO wa sasa hivi.
 
Wapinga maendeleo watakuja kusema huu mradi ilikuwa kwenye mpango muda mrefu kabla ya JK.
Kwani huu mradi umekuwa lulu kwa Tanzania au ndio mwanzo tu hata implementation bado unataka ujiko.. ndio maana werevu wanasema ukiona mtu anashabikia magamba lazima awe mwehu... hahaha
 
nawapongeza, ila waangalie mara mbili suala la buss terminal kuwa nje sana ya mji haitasaidia
kama wanaweka flyovers waijenge karibu na mjini kama zlilivo nchi nyingi buss terminal inakuwa mjini kuwawezesha wote watokako waweze kuunganisha usafiri sehemu yoyotemBunju itakuwa mzigo na garama kwa wengi

Nakuunga mkono mkuu. Acha viwanja vya ndege viwe nje ya mji lakini si stendi kuu ya mabasi kwani watumiaji wengi wa mabasi ni wenye kipato kidogo. Kwahiyo kupeleka stendi Bunju kutaongeza gharama zisizo na ulazima. Wakishaboresha miundombinu hasa hizo fying overs na mabasi ya kwenda kasi hata stendi ikibaki karibu na mjini haina shida.
 
nchi gani mkuu umeona buss teminal inakuwa mbali na mji? sijawahi ona hili
Nafikiri mabasi lazima yatoe return nzuri, na project iwe endelevu lazima bus terminal, airport, railway viwe mbali na mji. ili vipate wateja wa kudumu.
 
Back
Top Bottom