Unatisha Sana mkuu,yaani nikiona post yako natenga muda baada ya kazi natulia tuli kuisoma .bravo mkuuNashukuru sana wakuu..
Nashukuru Mkuu..Unatisha Sana mkuu,yaani nikiona post yako natenga muda baada ya kazi natulia tuli kuisoma .bravo mkuu
Pale Maswala ya Siasa yanapotuumiza vichwa,pale ajira na pesa za kujiajiri zinapokuwa changamoto ,pale Matumaini yanapopotea kutoka kwa Mkulu na madogo wakihitaji pesa ya chuo maana MKOPO ni makopo! Basi ndio pale MKUU THE BOLD anapokuwa muhimu sana ( ni muhimu kila siku ) kutupa mambo ya kutusaahaurisha majonzi yetu na kutujuza yale tusiyoyajua!!!Inshallah inshallah..
Nashukuru sana Mkuu! Kitu kingine kinakuja very soon..Pale Maswala ya Siasa yanapotuumiza vichwa,pale ajira na pesa za kujiajiri zinapokuwa changamoto ,pale Matumaini yanapopotea kutoka kwa Mkulu na madogo wakihitaji pesa ya chuo maana MKOPO ni makopo! Basi ndio pale MKUU THE BOLD anapokuwa muhimu sana ( ni muhimu kila siku ) kutupa mambo ya kutusaahaurisha majonzi yetu na kutujuza yale tusiyoyajua!!!
Tupia Kitu Mkuu.
Nashukuru Mkuu! Ntakutag bila shaka..Mkuu The Bold asante sana kwa chakula cha ubongo.
Naomba uwe una nitag na mimi plz
Hapana Mkuu bado..Uzi uko vizuri sana ni dhahiri kabisa umetumia muda mrefu kuuandaa. Hongera sana. Vipi mkuu ulishaandika kuhusu Robert Hanssen?
Sawa mkuu , naomba unitag ukipost nondo mpya. Kuhusu Robert hanssen upatapo muda unaweza andika. Nilitazama video clip wakimuelezea huyo jamaa.Hapana Mkuu bado..
Mkuu conspiracy theories zipo nyingi na pengine tunapata tabu kwasababu ya hichi kitu kinachoitwa classified information pengine tunaumiza vichwa hapa we lakini kuna watu 10 au 20 wanajua what really happen in sept 11 lakini katika kuufikirisha ubongo lazima kuna maswali ya kujiuliza.Hii nadharia ya US kujilipua wenyewe ili ati wapate sababu ya kuingia mashariki ya kati kuiba rasilimali kwa kutumia pazia ya vita, hii nadharia bado sijaikubali kabisa bado roho yangu inakataa kuamini.. Hasara iliyopatikana kutokana na kudondoka yale majengo ni kubwa mno mno mno, kiuchumi, kiusalama, kibinadamu!! Na bado kulikuwa na gharama za kuendesha vita, ukipiga jesabu haraka haraka sidhani hata hayo mafuta yanayodaiwa kuibwa yanafikia thamani hiyo..
Ahsante sana mkuu kwa kutuelewesha na mimi ilikuwa inanipa taabu jinsi kumtag mtu ngoja nijaribu NifaMkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
Story nzuri sana, nimependa aina ya usimuliaji inakufanya usichoke kufuatilia...ila Story ya Osama kushiriki 9/11 ni kama usanii flani, uwezekano wa kuwa inside job ni mkubwa zaidi