Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Heee...sasa si nimekujibu wewe au???na kama ni pongezi hata mm nimempa pongezi kwa kutumia Muda wake Kutafuta hizo taarifa Google na kutafasiri..

Naona unataka kurusha ngumi hewani...taratibu... taratibu rafiki..

Siwezi kumuonea wivu kwa pongezi anazopewa kwani amepoteza Muda wake kugoogle na kusikiliza interviews mbali mbali kuhusu hyo operation..

Amefanya Kazi kubwa ila siwezi kumuhoji chochote...sana sana naweza kuongezea pale ambapo naona hakupaweka sawa...

Mkuu wangu mm sina tatizo lolote...Nina tatizo na mtu anayemuhoji mtu ambaye hakuhusika kwenye operation..
Alaah,kumbe tatizo lako ni kumuuliza mtu ambae hakuhusika katika operation,sasa kama hakuhusika ikawaje kaleta habari ambayo yeye hakuhusika?
Huna lolote wewe ni wivu tu unakusumbua,mleta mada anastahili pongezi na anastahili kuulizwa huna sababu ya msingi ya kupinga asiulizwe!
 
Heee...sasa si nimekujibu wewe au???na kama ni pongezi hata mm nimempa pongezi kwa kutumia Muda wake Kutafuta hizo taarifa Google na kutafasiri..

Naona unataka kurusha ngumi hewani...taratibu... taratibu rafiki..

Siwezi kumuonea wivu kwa pongezi anazopewa kwani amepoteza Muda wake kugoogle na kusikiliza interviews mbali mbali kuhusu hyo operation..

Amefanya Kazi kubwa ila siwezi kumuhoji chochote...sana sana naweza kuongezea pale ambapo naona hakupaweka sawa...

Mkuu wangu mm sina tatizo lolote...Nina tatizo na mtu anayemuhoji mtu ambaye hakuhusika kwenye operation..
Na lingine ni kuwa yeye anetafsiri hiyo habari inawezekana kuna maneno aneyaruka wakati anafanya hiyo tafsiri hivyo kwa kumuuliza inaweza kusaidia kukumbusha kama kuna sehem alisahau.
Na lingine hajalazimishwa kujibu kila analoulizwa,na kama hawezi atasema,na ndio maana aliponijibu ametumia neno "inasemekana"kwa tafsiri nyingine hana uhakika.
Usilazimishe kila mtu aende google kwa vitu ambavyo vipo ubaoni,mleta mada amenijibu swali nililomuuliza,wewe endelea na wivu wako.
 
Mkuu unataka kusema mleta mada alishiriki kwenye operation Neptune spear??? U can't be serious...


Alaah,kumbe tatizo lako ni kumuuliza mtu ambae hakuhusika katika operation,sasa kama hakuhusika ikawaje kaleta habari ambayo yeye hakuhusika?
Huna lolote wewe ni wivu tu unakusumbua,mleta mada anastahili pongezi na anastahili kuulizwa huna sababu ya msingi ya kupinga asiulizwe!
 
Sasa kama unasema mleta mada alishiriki kwenye operation Neptune spear mbona kakujibu kuwa inasemekana..


Na lingine ni kuwa yeye anetafsiri hiyo habari inawezekana kuna maneno aneyaruka wakati anafanya hiyo tafsiri hivyo kwa kumuuliza inaweza kusaidia kukumbusha kama kuna sehem alisahau.
Na lingine hajalazimishwa kujibu kila analoulizwa,na kama hawezi atasema,na ndio maana aliponijibu ametumia neno "inasemekana"kwa tafsiri nyingine hana uhakika.
Usilazimishe kila mtu aende google kwa vitu ambavyo vipo ubaoni,mleta mada amenijibu swali nililomuuliza,wewe endelea na wivu wako.
 
Hii story ipo vzr japo, kunatarifa ambazo zinapingana,kunawatu wanasema sept 11 ulikuwa ni mpango wa usa wenyewe,
Na baada ya kufanikiwa wakatafuta njia ya clear story ndo ikadondoka kwa geramino...

Ukifuatilia hii story kunamaswal mengi sana, kwa namna usa ilivyo na interijensia hakuna tukio linaloweza kifanyika lisifahamike, ni mtu wa africa tu ndiye anaeweza kukubali hilo,
Hii nadharia ya US kujilipua wenyewe ili ati wapate sababu ya kuingia mashariki ya kati kuiba rasilimali kwa kutumia pazia ya vita, hii nadharia bado sijaikubali kabisa bado roho yangu inakataa kuamini.. Hasara iliyopatikana kutokana na kudondoka yale majengo ni kubwa mno mno mno, kiuchumi, kiusalama, kibinadamu!! Na bado kulikuwa na gharama za kuendesha vita, ukipiga jesabu haraka haraka sidhani hata hayo mafuta yanayodaiwa kuibwa yanafikia thamani hiyo..
 
Hongera Sana Mkuu The bold Nimependa mpangilio wa kazi na matukio Ngoja nizame YouTube nikajifunze lugha ya Malkia nao wanasemaje huko Labda kuna picha zipo nikaangalie
 
Back
Top Bottom