Gerald Hando muombe msamaha Dr. Ulimboka

Anakemea mgomo,???hata yeye anafanya kazi kwenye mazingira magumu,anahofia kugoma maana hajiamini,,,,,mwenzie masoud Kipanya na Phina hawakuridhika wakagoma,,,,,kwanza wamekufa na njaa????kama wewe una taaluma na vitendea kazi vya taaluma hupati ufanisi wa kazi utatokea wapi????
Labda huyo Mr PB aseme hapa kwanini walitaka kugoma baada ya kupata shida ya kumhoji baloz wa US???KWANINI WALIAZIMIA KUGOMA????

Acheni kuumiza kichwa kumwongelea mpuuzi huyo... anafahamika, kiwango chake cha kufikiri kinafahamika, hajiamini na hiyo ni sifa ya walamba miguu wote duniani... anataka na yeye atoke kwenye njaa...bado kuolewa tu!!!
 
punguwani wewe

Punguwani ni wewe mmojawapo usiejuwa kuwa mgonjwa hana hatia na hana uwezo wa kujisemea anapokuwa kitandani na hao wanaowachochea madaktari kugoma wana agenda zao za siri na hawajali kama kuna mtu atakufa au atateseka mradi yao yatimie. Tutawajua tu.
 
Hizi akili za kuunganishaunganisha taabu kweli. Hivi hata madaktari waki vunja mgomo wao na kurudi kazini hatafu hakuna dawa, vifaa vya kutibia hakuna,wagonjwa wanalala mzungu wa nne na kuambukizana magonjwa ina faida gani?

Dawa utazipata kwa kuuwa wagonjwa?
 
Punguwani ni wewe mmojawapo usiejuwa kuwa mgonjwa hana hatia na hana uwezo wa kujisemea anapokuwa kitandani na hao wanaowachochea madaktari kugoma wana agenda zao za siri na hawajali kama kuna mtu atakufa au atateseka mradi yao yatimie. Tutawajua tu.

wee una akili timamu nimeamini.... ukiumwa tu unapelekwa india, hujui kuwa hakuna canula mawodini, wala gloves nyau wewe.....
 
Mtu yoyote anayewalaumu madaktari katika swala la mgomo badala ya kuilaumu serikali ni mpuuzi.Hoja ya kumlaum daktar na kuitete serikar ni hoja ya mwendawazimu

Unawezaje kumpa dereva gari lisilo na brek,na linamzigo mkubwa ukamwambia ashuke wami au ashuke kitonga,au sekenke?tena unamlazimisha bila kutumia akili wakati yeye anakuambia haitawezekana kwa kutumia taaluma yake,alaf unamlaum et kakugomea?Tuacheni kutumia pumba kwa kujifanya hatuelewi nin madaktar wanataka kwa manufaa yani.Ikumbukwe sis walalahoi ndio tunaotumia hosptal za hapa nchin,kama serikali inazitelekeza na hakuna wa kusemea kwa haraka tutawalaumu madaktaq kuwa wanahuduma mbovu kumbe hospital haina vitendea kazi.Tafakar kabla hujaropoka wewe hando
 
Kama alisema hivyo nadhani Hando na mama yake watakuwa wameweka party,kwa jinsi Dr Ulimboka alivyofanyiwa aendelee tu kufurahi hakuna sababu yeyote ya kumuoba radhi alicho kitaka kimetimia
 
Huyo Ulimboka hata angekufa I dont care, maana hata mimi ndugu zangu wengi wamekufa pale Muhimbili kwa sababu yake. So bila bila!!!
 
Hando hajakosea na aliyempa kichapo hando hakufanya makosa, unajuwa ni maelfu mangapi ya wagonjwa wanaoteseka kwa fitna zake. Akipona tumuone aendelee na ufataani wake.


ina maana na viongozi mafisadi wa Serikali hii wapewe kichapo??? Ili tuwakomeshe kuiba jasho letu - na wakipona tuone kama wataendelea kuiba???? OUR SOCIETY IS ROTTEN - AM SORRY TO SAY THIS ............ila ndivyo ilivyo.... Watanzania wangapi wanakula mlo mmoja??? Hi si kuwauwa taratibu????? MADAKTARI WANA HAKI YA KUGOMA ..... NA ATHARI ZA VIFO WAGONJWA WANAOKUFA INATOKANA NA SERIKALI MBOVU ..........SIO MADKTARI TU .......... :sad::sad::sad:
 
Hando na yule mwomba bia maarufu -PJ wamehongwa milioni wanaanza kumsema kwa kumdhihaki Mwakyembe eti kwa nini kamfukuza Chizi. njaa bhana, we acha tu.
 
[/COLOR]
ina maana na viongozi mafisadi wa Serikali hii wapewe kichapo??? Ili tuwakomeshe kuiba jasho letu - na wakipona tuone kama wataendelea kuiba???? OUR SOCIETY IS ROTTEN - AM SORRY TO SAY THIS ............ila ndivyo ilivyo.... Watanzania wangapi wanakula mlo mmoja??? Hi si kuwauwa taratibu????? MADAKTARI WANA HAKI YA KUGOMA ..... NA ATHARI ZA VIFO WAGONJWA WANAOKUFA INATOKANA NA SERIKALI MBOVU ..........SIO MADKTARI TU .......... :sad::sad::sad:

Tena hilo ndio sawa kabisa, lakini usiende ukampa mtu kichapo kwa kusikia tu. Mimi nilisha suggest kuwa kwenye ushahidi kabisa wa ufisadi usio na shaka ndani yake (without doubt), si ufisadi tu hata rushwa basi wauliwe tu. Kama China. Hizi sheria zetu zinatufunga funga, hawa hawa wanaojidai haki za binaadam ndio wazandik na mafataani, wao wanatetea kichapo cha mtu mmoja lakini wanashindwa kutetea haki za malaki ya watu wanaokosa matibabu mahospitalini. Hii kanuni ya wapi? ya kibinaadam au ya kishetani?
 
hamna shaka kwa namna moja au nyingine kupigwa na kutekwa kwa dokta ulimboka kunatokana maneno ya kuhamsha na kuchochea hasira kwa dkt ulimboka yaliyofanywa na kituo cha radio cha clouds fm ktk kipindi cha power breakfast,segment ya jicho la ngombe majuzi,bwana gerald hando kwa makusudi au kwa kutokujua impact ya radio kwenye kurusha maneno ya chuki na kumkosoa mtu tena kwa kumuita jina lake moja kwa moja bila kufikiria reactions na response za watu kwa mtu husika. bwana hando alimsema sana bwana dkt ulimboka kwamba anapenda sifa, umaarufu,anatakuwa shujua ili sanamu lake liwekwe muhimbili..na maneno mengi ya ajabu ajabu, ambayo mtu yeyote ambaye ameguswa na mgomo wa madaktari angeweza fanya kitu chochote kumdhuru dkt ulimboka. Gerald hando na watangazaji wa radio clouds fm kuweni makini na lugha zenu, acheni unafiki, kumbukeni hata kama mnadhani hakuna watu wanaoweza kuwachukulieni hatua , hasira za watu na malalamiko yao kwenu personaly si jambo jema, wote tunajua mambo ya hovyo yanayofanywa na serikali, na hata serikali kama inashindwa tatua maombi ya madaktari kwa wakati mmoja. waonyeshe tu commitment ya dhati ya kutatua kero za madaktari tusingekuwa na migomo hii, plz gerald hando , angalia maneno yako brother , radio ni very powerful too , inaweza kuwa very destructive isipotumiwa kwa weredi
Watu wachache sana wataona uzito wa hili bandiko lako trust me..Hando alimchamba mwakyembe sakata la Paul Chizi bila kujua anadeal na mtu wa caliber gani kilichofuata anakijua leo hii anarudia yaleyale mwachie hii homework kama ni mwanafunzi mzuri ataifanya kwa ufasaha
 
madaktari niwabinafsi nawala hawatetei maslahi ya watz bali yakwao,and it shows that the devil himself ndio anawatumia,serikali hiyo ndio iliwasomesha in the first place inabidi wananchi ss waamke na we rebuke these so called drz wenyewe ni nani wawe wakidemand million za pesa wapewe bana kila mtu ana umuhimu wake kwenye society yy yakimkuta huko atahitaji lawyer wakumtetea or aende magereza,so msijione nyie nibora kila mtu amesoma na anaumuhimu wake,watu wazima na degree zenu which u toiled to get them mnaimba nyimbo za watoto ,,,,,mbona hatukuandamana mlipo mpasua mtu mguu badala ya kichwa,,,,,
 
madaktari niwabinafsi nawala hawatetei maslahi ya watz bali yakwao,and it shows that the devil himself ndio anawatumia,serikali hiyo ndio iliwasomesha in the first place inabidi wananchi ss waamke na we rebuke these so called drz wenyewe ni nani wawe wakidemand million za pesa wapewe bana kila mtu ana umuhimu wake kwenye society yy yakimkuta huko atahitaji lawyer wakumtetea or aende magereza,so msijione nyie nibora kila mtu amesoma na anaumuhimu wake,watu wazima na degree zenu which u toiled to get them mnaimba nyimbo za watoto ,,,,,mbona hatukuandamana mlipo mpasua mtu mguu badala ya kichwa,,,,,
Unajua kwenye jukwaa kuna thread nyingi tu hebu jaribu kuchagua unayoona inaendana na uwezo wako kichwani hizi zingine waache wenye nondo zao waendelee..la sivyo kakojoe ulale
 
Watangazaji wa Clouds FM ni chakula cha Ruge, si wanawake tu, mpaka wanaume kama hao kina Hando... Kwa hiyo sishangai Hando ku-behave like that, Ruge ameshawaaribu....
 
Kuwachokoza madaktari inahitaji uwe na uhakika wa matibabu ulaya. Tatzo la Hando na akina kibonde wanadhani kutotibiwa Muhimbili na kutibiwa private ndo kutawaweka salama na maadui zao madaktari wanaowatafuta. Madokta wana umoja sana bila kujal wako private au govern. Kuna cku hando au kibonde watamua kwa propofol na Insulin. KOVA Mjanja yeye alianza kujihami mapema kwa kusema yeye hana ugomvi na madokta. Madokta wanaweza umafia kuliko mnavyodhani hando. Kwanza wanaanza degree zao kwa kupasua maiti. Na kila cku wanashudia watu wanakufa kwa hvyo wanajua fika kifo na lazma na hawaogopi kufa. Kwa hyo hando na wenzako angalieni sana watu wa kukebehi.
 
Hakutenda haki kwa nini alifanye personal na Dr. Ulimboka ikiwa anatumia redio na mwenziye hayupo kujitetea? angesubiri apone ili amwite ndo amwambie uso kwa uso. Kwa hili inabidi ajirekebishe huyu Gerald Hando.
hando alisema ''this is personal btn u n me ulimbokal'
 
hando hajakosea na aliyempa kichapo hando hakufanya makosa, unajuwa ni maelfu mangapi ya wagonjwa wanaoteseka kwa fitna zake. Akipona tumuone aendelee na ufataani wake.

wewe,hando na wengineo wenye mawazo ya hovyo na mtindio wa fikra mnastahili kupewa mitusi isiyo na tafsiri! Kwa ujinga wenu mnafikiri dr. Ulimboka anayosimamia ni mawazo yake binafsi au ni mambo ambayo wameazimia kwa pamoja!? Yeye ni kiongozi au mwakilishi sasa kwanini yeye peke yake aonekane ni tatizo? Ina maana yeye ndo kawashikia akili maprofesa na madokta wenzake ambao ni wasomi kama yeye!? Yaani mnataka kusema yeye anawapelekesha wenzake kama mazezeta bila utashi wao? Au ni maazimio yao pamoja? Hebu acheni upuuzi wenu huko! Ni dhahiri kuwa msimamo wa dr. Ulimboka ndo maazimio ya umoja wao na kama isingekuwa hivyo wenzake wangempinga!
 
Hando hajakosea na aliyempa kichapo hando hakufanya makosa, unajuwa ni maelfu mangapi ya wagonjwa wanaoteseka kwa fitna zake. Akipona tumuone aendelee na ufataani wake.

Great sinkers wa TZ tabu tupu,matatizo ya wagonjwa kwenye mahospital ya taifa hili ni makubwa hata pasipo na mgomo wa madaktari,kwa kutotaka kufikiri vema na kujifanya hamuyajui matatizo ya taifa lenu mmehamishiya matatizo ya mahospital kana kwamba yameletwa na mgomo wa madaktari,huu ni uzandiki wa hali ya juu sana kwetu sisi watz,ni mgomo wa madaktari unaosababisha wamama wajawazito walale na kujifungulia sakafuni, ni mgomo wa madaktari unasababisha kila ugonjwa kwenye hospital za serikali utibiwe kwa panadol ? ni madawa ya magonjwa yanayofadhiriwa kama TB etc ndiyo dawa zipo kwenye clinic husika,hili kwa wengi si tatizo,tatizo ni madaktari ambao pamoja na kudai nyongeza ya mafao wanadai mazingira ambayo yatawafanya watumie taaluma yao kwa faida ya waTZ. Badala ya wote kama taifa kusimama imara ili magari ya 200m yasinunuliwe tuimalishe mazingira na miundombinu ya hospital kwa msaada wa madaktari walioona na kusema basi... tumebaki kama mazezeta na kulaumu madaktari,ni bora wachache wafe sasa wengi wapone milele. Ukweli ni kuwa hata kama mmempiga Dr.Ulimboka hata kama Mtamuua bado wenye uchungu na mazingira mabovu ya hospital zetu wataibuka na tutawaunga mkono hadi kieleweke...
 
Back
Top Bottom