kua kinega sio lazima uimbe.
Wewe kama unatetea haki za watu wanaonyonywa na kudhulumiwa haki zao hasa wasanii au unaguswa na hilo jambo basi wewe ni kinega. ndo maana sasa hivi vinega wapo kila sehemu,mahospitalini,mitandaoni, vyuoni na kila sehemu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.