NDUGU WANA JF, TULIJADILI HILI maana leo asbh nimesikia Gerald hando akiongea sana kuhusu Posho za wabunge. Kwa mtizamo wangu naona kama Gerald hando anaupeo mdogo sana wa kutafakari mambo na kuchambua. Hao Clouds mbona wasiweke simu mezani waruhusu watu wachangie kwenye maada zao. Hili la zito na NCCR naona kama wapo sahihi kila mbunge analipwa PERDIEM kwa siku. Hiyo Posho ya nini tena. Imagine wewe amesafiri kikazi mbeya. Utalipwa perdiem ya kukuwezesha kula jioni na kulala. Je kuna umhm wa posho. Hata kama zitto amelitambua leo lakini ameonyesha ukomavu. Na je kama wabunge wengine hawasupport hatuoni kama wanatusaliti tusiwachague temu ijayo hata kama wao ni upinzani.
Na hayo nawakilisha mnalionaje hili.
Na hayo nawakilisha mnalionaje hili.