Geothermal Tanzania

GEOTHERMAL TANZANIA

New Member
Jul 5, 2016
3
1
Tanzania sasa kumekucha nishati ya joto ardhi ambayo haikuwahi kuzungumziwa nchini kwetu sasa sio wakati wa kuisikia tu kwa wenzetu wataalamu wetu na wengine kutoka mataifa mbalimbali tafiti zimefanyika kwa kina na kugundua kuwa nishati hiyo ambayo ni (yakudumu) sustainable ipo kwa kiasi kikubwa sana ndani ya nchi yetu.

Hivyo basi ni jukumu letu sisi kuhakikisha kuwa nishati hiyo tunaifikia kwa ajili ya kuinua maisha ya mtanzania na kupunguza gharama za maisha kwa kuhakikisha tatizo la umeme ambalo limekuwa likitusumbua kwa muda sasa linasahaulika masikioni mwa watanzania wote kwa ujumla kwani nishati hiyo ni RENEWABLE RESOURCE ukilinganisha na vyanzo vingine vya uzalishaji wa umeme kama Mafuta, Gesi n.k
 
Mkuu wenzako wako bize kuvunja ukuta na kupambana na ukawa, unapoteza muda hapa
 
Tunayo mito ya kutosha, malagarasi, kagera,ruvuma, ruvubu,rufiji,hiyo ni michache tu, tuwekeze kwenye hydro, geo thermal ni vyanzo vya nchi za jangwani.
 
Geothermal reserves Tukuyu na Songwe zimelala. Are we capable and ready to tap it?
Not only songwe and Tukuyu.Sehemu ulioopita great valey upo uwezekano wa kuanzisha Geothermal power plant.Majirani zetu Kenya wameitumia hiyo fursa wamejenga plant kitambo inazalisha umeme 34MW.Labda tusubiri wahamie Dodoma au wakimaliza kujenga GIA(Geita International Airport).
 
Mtoa mada sijakuelewa kabisa unapotoa maji na upepo kwenye kundi la renewable resource sidhani Kama hill lipo sahihi labda mi sielewi maana ya renewable resources.
 
Kweli maji na upepo ni renewable resource ila utafouti kati ya hizo resource ni sustainability na efficiency. As long as maji yanakuwa affected naukame n.k lakini geothermal will not be affected of anything once it comes up it has no end.
 
sawa Technologia ya Maji ipo hapa nchini miaka mingi lakini bado tunachangamoto ya umeme pia tunahitaji kutumia vyanzo mbalimbali ilikuweka security ya kuwa na umeme wa uhakika zaidi na ukizingatia nchi yetu inaelekea kwenye uchumi wa kati unaohitaji umeme wa kutosha na uhakika GEOTHERMAL is one of the solution of it.
 
Kweli maji na upepo ni renewable resource ila utafouti kati ya hizo resource ni sustainability na efficiency. As long as maji yanakuwa affected naukame n.k lakini geothermal will not be affected of anything once it comes up it has no end.

Power plant vipi? Also has no end!!!!
 
sawa Technologia ya Maji ipo hapa nchini miaka mingi lakini bado tunachangamoto ya umeme pia tunahitaji kutumia vyanzo mbalimbali ilikuweka security ya kuwa na umeme wa uhakika zaidi na ukizingatia nchi yetu inaelekea kwenye uchumi wa kati unaohitaji umeme wa kutosha na uhakika GEOTHERMAL is one of the solution of it.
Maji sio lazima iwe ni HEP kuna tides waves baharini hatujatumia hata kidogo na yenyewe haithiriki na mabadiliko ya hali ya hewa.
 
Teknolojia ya kupata umeme utokanao na Tadal waves bado inachangamoto nyingi kuzalisha umeme.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom