Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Toka pepo wewe!Uangamie kwa jina la Allah na isemwe amin.
Vipi mkuu Daniel Myl hujambo? nimesha geuka pepo mimi tena?:becky: Umegeuka mchekeshaji wewe ninakuacha kama ulivyo .Toka pepo wewe!
Vipi mkuu Daniel Myl hujambo? nimesha geuka pepo mimi tena?:becky: Umegeuka mchekeshaji wewe ninakuacha kama ulivyo .
Umeangamia wewe kwa jina La Allah na umekwisha angamia wewe .Ondoka kwangu shetani ninakuamuru kwa jina la Yesu
Umeangamia wewe kwa jina La Allah na umekwisha angamia wewe .
Haya tuyamalize ninakuacha kama ulivyo ukinita shetani na wewe utaangamia. Usipo niita shetani hauta angamia usipende binadamu mwenzako kumita jina baya ndio maana na mimi nikakwambia uangamie kwa jina la Allah. Jirekebishe usipende kumwita mtu jina baya haifai ikiwa kweli wewe unamuamini mungu wako Bwana Yesu.Imeandikwa mwenye kuitoa wewe pumzi ya uhai ndio peke yake anaweza kuiondoa, ibiri shetani na vibaraka wake hata muimbe usiku kucha hamta weza kamwe!! So kwa taarifa yak ni kuwa Huna mamlaka hata nukta moja kuamlisha kuangmia kwangu
Hiyo FAKE hamna kitu hapo. Wewe ulijiage kama alitaka kuitukana qurani yenu? Lete ushahid.