gentleman

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
wapendwa MMU,
ni udadisi tu...
Ni kwanini vdume walio na status ya kuitwa gentleman wanakuwa wahanga wa....
- kutamkiwa lolote na wenzi wao
-kubishiwa hata kama hoja yako kwa mwandani wako ni ya msingi
-kuingiliwa ktk ratba zako za kimaendeleo haijalishi umemweleweshaje mwenzi wako...
Nawakilisha......
 
Mkuu kwenye maisha unaweza ukapata mengi kwa kufanya Compromise na kuacha mwenza wako ashinde mabishano mengi

Tuseme kama hizi argument ndogo ndogo zote huwa unakubali kushindwa huoni labda siku likija jambo kubwa utakuwa na upper hand, sababu utaonekana kwamba wewe ni mstaarabu na huwa unamwachia and now its her turn to compromise..

Kwahiyo mkuu mambo madogomadogo kama hayatakusumbua sana let her win ni kwamba hapo unainvest for the future..
 
Hivi gentleman ni status ya watu fulani fulani!!! Wengine tulikuwa hatufahamu. Hivi kwenye hafla fulani wanaposema 'ladies and gentlemen' huwa wanamaanisha nini??
 
Gentleman kwa kiswahili ni nini vile?? Mie sijui bana hebu nifafanulie. Nimewahi kusikia kwenye sherehe mbali mbali watu wakisema Ladies and Gentlemen huwa wanamaanisha nini?
 
Gentleman kwa kiswahili ni nini vile?? Mie sijui bana hebu nifafanulie. Nimewahi kusikia kwenye sherehe mbali mbali watu wakisema Ladies and Gentlemen huwa wanamaanisha nini?
Ladies - Dena Amsi
Gentlemen - BE
 
Gentleman = Mwanaume mpole,mkarimu, muelewa

Mmmmhhh kwahiyo wale wanaosema Ladies and Gentlemen kwenye sherehe wanakuwa wanajua woooooooote waalikwa kuwa wana hizo tabia au???

Haya bwana asante kwa ufafanuzi nilikuwa sifahamu
 
Mmmmhhh kwahiyo wale wanaosema Ladies and Gentlemen kwenye sherehe wanakuwa wanajua woooooooote waalikwa kuwa wana hizo tabia au???

Haya bwana asante kwa ufafanuzi nilikuwa sifahamu

Haswaaaaaaaa hata kama atakuwepo wa tofauti atajificha maana ataonekana wa ajabu kwa hiyo mhiyo salaam ni silaha pia
 
Ha ha ha ha BE toka nimerudi simuoni sijui kaenda wapi jamani my dear wangu ha ha ha

Sasa kama ndo wanamaanisha hivyo kulikoni mwenzetu anasema gnetleman hebu nisaidie
Kwa kuwa hayupo na hajulikana lini atarudi itabidi nikamtafute GONGO LA MBOTO for the time being ngoja ikae hivi

LADIES - Dena Amsi
GENTLEMEN - The Finest
 
Kwa kuwa hayupo na hajulikana lini atarudi itabidi nikamtafute GONGO LA MBOTO for the time being ngoja ikae hivi

LADIES - Dena Amsi
GENTLEMEN - The Finest

Soma signature yako halafu utapata majibu sijui wameambizana na huyo aliyeko kwenye signature yako???

Maana wamepotea wote ghafla mwengine kala BAN huyu wangu ndo simuoni kabisa
 
Soma signature yako halafu utapata majibu sijui wameambizana na huyo aliyeko kwenye signature yako???

Maana wamepotea wote ghafla mwengine kala BAN huyu wangu ndo simuoni kabisa
Huyo gentlemen wako nilisikia kaenda Tanga sasa si unajua habari ya huko ilivyo l.o.l
 
Mkuu kwenye maisha unaweza ukapata mengi kwa kufanya Compromise na kuacha mwenza wako ashinde mabishano mengi

Tuseme kama hizi argument ndogo ndogo zote huwa unakubali kushindwa huoni labda siku likija jambo kubwa utakuwa na upper hand, sababu utaonekana kwamba wewe ni mstaarabu na huwa unamwachia and now its her turn to compromise..

Kwahiyo mkuu mambo madogomadogo kama hayatakusumbua sana let her win ni kwamba hapo unainvest for the future..

-Ni kweli Mkuu... kwa upande wa majadiliano na mabishano naweza kukubaliana na hoja yako...
-Baada ya kuzichunguza 'couples' kadhaa ninzozifahamu...Naashawishika kuamini wanawake wengi wakishapata mwenzi amabae ni 'jentomani' na wakishamfahamu vema, taratibu wanajisahau wanaanza kugeuka wabinafsi katika mahusioano. Na hapo ndipo jentoman mjanja anajikata zake na mjinga anageuka mtumwa katika mahusiano... uongo?:coffee:
 
-Ni kweli Mkuu... kwa upande wa majadiliano na mabishano naweza kukubaliana na hoja yako...
-Baada ya kuzichunguza 'couples' kadhaa ninzozifahamu...Naashawishika kuamini wanawake wengi wakishapata mwenzi amabae ni 'jentomani' na wakishamfahamu vema, taratibu wanajisahau wanaanza kugeuka wabinafsi katika mahusioano. Na hapo ndipo jentoman mjanja anajikata zake na mjinga anageuka mtumwa katika mahusiano... uongo?:coffee:

Kweli Mkuu, Binadamu...

"Give them an Inch and They Take a Mile"

Unaweza wewe ukawa mstaarabu wenyewe wakachukulia ni *****..., kwahiyo naona sometimes inabidi upime kama kitu hukipendi kabisa unamwambia mtu na unaonyesha kutokuridhika nacho, lakini compromise kwenye haya mambo lazima iwepo haya mambo madogomadogo uaacha na mwenzako nae afeel kwamba na yeye ni part ya "Captain wa Jahazi" lakini nadhani pia inabidi msichana na yeye akipata Gentleman basi ajaribu kuwa a LADY
 
Back
Top Bottom