Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
wapendwa MMU,
ni udadisi tu...
Ni kwanini vdume walio na status ya kuitwa gentleman wanakuwa wahanga wa....
- kutamkiwa lolote na wenzi wao
-kubishiwa hata kama hoja yako kwa mwandani wako ni ya msingi
-kuingiliwa ktk ratba zako za kimaendeleo haijalishi umemweleweshaje mwenzi wako...
Nawakilisha......
ni udadisi tu...
Ni kwanini vdume walio na status ya kuitwa gentleman wanakuwa wahanga wa....
- kutamkiwa lolote na wenzi wao
-kubishiwa hata kama hoja yako kwa mwandani wako ni ya msingi
-kuingiliwa ktk ratba zako za kimaendeleo haijalishi umemweleweshaje mwenzi wako...
Nawakilisha......