Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Tunadumisha mila...
Ila tukubali white man ni kichwa! Hizi mila tunaanza kuzikandya kwa sababu mzungu kasema ni mbaya na inhuman!
To me, it seems we have delegated our capacity to think to the whiteman...My question is....why is it that we AFRICANS dont have our original thinking to determine what is good and bad for us? Mpaka tuambiwe?? au mpaka mwingine afanye?? na akibadili msimamo..na sisi unabadili..... Its scary..isnt it?
Tena wanaokuwa wa kwanza kukubali na ku-usaliti uafrika ni "Msomi wa Chuo Kikuu". Cha ajabu zaidi ni kwamba, wasomi hawa wanakuwa wepesi sana kuiga mambo ya kijinga ya whiteman na kuyaleta huku kwa akina yakhe kuliko mambo ya maana!