Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu
Huko majuu USA wanasayansi wanafanya utafiti na uchunguzi wa genome(genes) na DNA zinazosababisha au zinazozuia mtu kukuua kimwili na kiakili na baadaye Kuzeeka.
Uchunguzi wao wanaufanya kupitia mtoto/kijana Brooke Greenberg ambaye japo ana umri wa miaka 18 urefu wake ni inchi 31 na uzito wa Kg 7.5 tu na wataaalama wanakadiria uwezo wa ubongo wake ni wa mtoto wa kati ya miezi tisa(9) na mwaka mmoja.
Sasa tujiulize wanajamvi wa saysansi na teknolojia
Assume uchunguzi wa wanatalma ho umekamilika kwa mafaniko na wakagundua hizo genes na wakagudua namnaa ya kuziweza na kuziondoa au kuziweka kwenye mwili wa binadamu na asssume haitakuwa gharama kubwa kuondolewa genes ya kukua na hatiaye kuzeeka
Nawasilisha kwa mjadala
Huko majuu USA wanasayansi wanafanya utafiti na uchunguzi wa genome(genes) na DNA zinazosababisha au zinazozuia mtu kukuua kimwili na kiakili na baadaye Kuzeeka.
Uchunguzi wao wanaufanya kupitia mtoto/kijana Brooke Greenberg ambaye japo ana umri wa miaka 18 urefu wake ni inchi 31 na uzito wa Kg 7.5 tu na wataaalama wanakadiria uwezo wa ubongo wake ni wa mtoto wa kati ya miezi tisa(9) na mwaka mmoja.
Sasa tujiulize wanajamvi wa saysansi na teknolojia
Assume uchunguzi wa wanatalma ho umekamilika kwa mafaniko na wakagundua hizo genes na wakagudua namnaa ya kuziweza na kuziondoa au kuziweka kwenye mwili wa binadamu na asssume haitakuwa gharama kubwa kuondolewa genes ya kukua na hatiaye kuzeeka
- Je wewe unadhani umri upi ni sahihi mtu kuondolewa kwa genes za kukua
- Unadhani Sayansi hii itatahiri au kunufaisha vipi maisha ya binadamu duniani
Nawasilisha kwa mjadala