Generali Ojukwu Ni Kwanini?

- Cha muhimu ni kuelimishana mkuu the authorty wa Vita vya Nigeria na kwa nini tuliounga mkono maaasi, vipi ukiweka darasa hapa!!

William.
Kuna mtu kakushauri ukamuulize mzee alafu uje kushare na sisi insider information, katika mtu ambaye anaweza akawa na access ya information za kisiasa na kiintelijensia za kwa nini ilifanyika hivyo ni wewe humu jamvini ni wewe.
 
General C. Odumegwu Ojukwu
President of Biafra
In office
30 May 1967 – 8 January 1970
Vice PresidentPhilip Effiong
Preceded byPosition created
Succeeded byPhilip Effiong
ConstituencyBiafra
Governor of Eastern Region, Nigeria
In office
19 January 1966 – 27 May 1967
Preceded byFrancis Akanu Ibiam
Personal details
Born4 November 1933
Zungeru, Nigeria
Died26 November 2011 (aged 78)
United Kingdom
NationalityNigerian
Political partyNigerian Military, Biafra military, later National Party of Nigeria,APGA
Spouse(s)Njideka Onyekwelu (divorced),Bianca Ojukwu
ChildrenEmeka (Jnr), Okigbo, Ebele
Alma materLincoln College, Oxford University, King's College, Lagos
ProfessionSoldier, politician
ReligionChristian
 
- Kila ninapoangalia tulikotokea hili Taifa, ninapatwa wasi wasi sana kwamba hatukufika hapa tulipo kwa makosa, tumefanya makosa mengi sana nyuma in terms of policies mpaka leo hii kurekebisha inakuwa ni almost impossible, ingawa watawala wa sasa wanajitahidi sana.


- Eti ni kwa nini Tanzania tuliunga mkono Waasi wa Nigeria waliokuwa wanaongozwa na General Ojukwu, kwenye kiu yao ya kujitenga na Nigeria Federation? Ninakumbuka tukiwa wadogo Shuleni, tulivyokuwa tunaimbishwa nyimbo za kumsifu Ojukwu, why? I mean ni policies ngapi huko nyuma we were wrong maana inaonekana ni nyingi sana that ni vigumu sana sasa kurekebisha njia!

- JE have we ever apologize to the Nigerians kwa makosa yetu ya kuuunga mkono uasi wa Ojukwu, dhidi ya serikali halali ya nchi hiyo?

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William J. Malecela.


Mkulu

Uzi wako unaning'inia kuliko kawaida..

Kwanza unawajibu wa kueleza kwa kina ojukwu alikuwa anasimamia nini in terms of sababu za kutaka kujitenga

Pili legitimacy ya dola ya Nigeria kwa wakati huo.

Vinginevyo inanipa shida kaumini kwamba tunatoa mahitimisho ya jumla kwa masuala ambayo hatujafanya uchambuzi wa kina....

Napata shida kwa kweli kuamini....
 
Kwa nini sisi hatukumpa Kambona heshima kama hii japo yeye hakushika mtutu kugomabana na Nyerere?.

On 26 November 2011, Ikemba Odumegwu Ojukwu died in the United Kingdom after a brief illness, aged 78. The Nigerian army accorded him the highest military accolade and conducted funeral parade for him in Abuja, Nigeria on 27 February the day his body was flown back to Nigeria from London before his burial on Friday, 2 March 2012. He was buried in a newly built mausoleum in his compound at Nnewi. Before his final internment, he had about the most unique and elaborate weeklong funeral ceremonies in Nigeria besides Chief Obafemi Awolowo, whereby his body was carried around the five Eastern states, Imo, Abia, Enugu, Ebonyi, Anambra, including the nation's capital, Abuja. Memorial services and public events were also held in his honour in several places across Nigeria, including Lagos and Niger state his birthplace.
 
Mtu huyu anaweza kutusaidia kwa nafasi alizokuwa nazo wakati wa mgogoro wa Biafra:

John Samuel Malecela (born 19 April 1934) in Bugiri Dodoma, was Prime Minister of Tanzania from 1990–1994. He served as the vice-chairman of the CCM from 1995 to 2007, and a member of the CCM Central Committee to date.
Prime Minister Malecela headed the Tanzanian delegation which participated in the first Tokyo International Conference on African Development in October 1993.


Education


Secondary Education - Minaki secondary school 1957-1958
Bachelor of Commerce - Bombay University 1958-1959
Post Graduate Studies - Cambridge University 1961-1962
Ph.D. Honoris Causa (Humanities) - University of Texas 1977


John Malecela is one of the most experienced Tanzanian politicians. However his efforts to seek his party's nomination for presidential candidacy did not yield any favorable results on his part both in 1995 and 2005.

Positions held



  1. Tanzania Permanent Representative to the United Nations - 1964-1966
  2. Tanzanian Ambassador to Ethiopia and the OAU - 1967
  3. Minister of Foreign Affairs - 1972-1973
  4. Communication and Transport - 1973-1974
  5. Mineral Resources and Agriculture 1975-1975
  6. Minister in the East African Community - 1975-1976
  7. Regional Commissioner of Iringa - 1980-1984
  8. Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
  9. Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
  10. Prime Minister and First Vice President 1990-1994
  11. Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to 2007
  12. Member of Parliament for Mtera - 1990 - 2010
 
Secondary Education - Minaki secondary school 1957-1958
Bachelor of Commerce - Bombay University 1958-1959
Post Graduate Studies - Cambridge University 1961-1962

Elimu za zamani ilikuwa mwaka mmoja mmoja?
 
W.J.Malecela pole kwa weledi duni kiasi cha kushusha mapigo ya moyo wangu.Katika thread zako ikiwemo hii yafuatayo nina baini kama hivi.Elimu yako hasa ya sera na uchambuzi ni ndogo sana,Mambo mengine ni muhimu kupata feedback kwa mzee cygwesima na kupata conclusion na kama unataka support toka kwenye jopo la great thinkers unakuja na mtazamo dhahiri badala ya kuyumba yumba.Pia ni kwamba pengine ili jina la Malecela unalitumia vibaya pengine ni mtoto wa shamba boy kiasi kwamba una direct contact za kuongea na kupata ufafanuzi kwa mzee huyo ambaye alibobea katika tasnia ya international relation wakati wa mwalimu.Na pia nashangaa kuabudu utawala wa sasa kwamba unafanya vizuri kuliko enzi ya mwalimu kwa lipi ?au umetumwa na mzee cygwesima kumchokonoa mwalimu kwa sababu hajawahi kujadiliwa kama presidintial candidate baada ya mwalimu ampige ban?.Na mwalimu wakati wa uhai wake alieleza wazi kuwa wakati wa uongozi wake kulikuwa na matatizo mengi na sehemu nyingine walifanya vizuri na pengine walifanya vibaya,Tatizo la uongozi wa sasa ambao Wiliam anapigaya debe wanachukua mabaya wanaacha mazuri.
 
- Be my guest, anytime mkuu!, otherwise hoja yangu ya msingi ni huko tumefanya madudu mengi sana ndio maana mpaka leo yanatutafuna!, lakini hatutaki kuyaongelea kujua namna ya kujirekebisha!!

William.
Hi sentensi ni pana sana mkuu na nivigumu kuithibitisha...
1. Huko nyuma ... ni nyuma ipi? Ya wakati wa Nyerere? Je unataka kuendeleza tofauti za baba yako na marehemu Mwlimu Nyerere?
2. Je, unategemea ku-achive nini katika hoja hii?
3. Je unaamini kuwa makosa tuliyofanya nyuma ndiyo makubwa zaidi kupita tunayofanya hivi sasa?
4. Kwa nini makosa ya huko nyuma yasirekebishwe ili mambo yaende sawa?
5. Je, unaogopa kusema makosa ya watawala walio hai na badala yake unataka kusema ya watawala wafu kwa sababu hawawezi kukuwajibisha?
6. Nyerere na serikali yake walipotambua Biafra haiwezi kuwa sababu ya wa-Zenj kutaka kujitenga kutoka kwenye muungano. Havihusiani kabisa. Madai ya wa=Zenj si sawa na madai ya watu wa Biafra ya Nigeria. Huko Nigeria ni kweli wanaonewa sana hata sasa. Je wa-Zenj wanaonewa na nani? Nchi wanayo, bendera wanayo, rais wanaye, bunge wanalo, mahakama wanayo, majeshi wanayo ... sasa unataka wajitenge kabiosaa ndiyo busara yako?

Pole Willy, mimi bado na taka kujuwa zaidi shida na hoja yako
 
Kuna tetesi kuwa Wiliam ni informer wa TISS na amekuwa foreign asset department kwa kipindi na sasa karudi home kuendelea na kazi yake, Kupiga porojo sisi tunaona kama hazina maana hizi ni kazi za kawaida za TISS kuweka watu attention na mada nyepesi nyepesi badala ya kufikria mambo ya maana ya kukomboa nchi.KWA HIYO MEMBERS AND GREAT THINKERS TAKE CARE.THE MAN IS AT WORK.
 
Kuna mtu kakushauri ukamuulize mzee alafu uje kushare na sisi insider information, katika mtu ambaye anaweza akawa na access ya information za kisiasa na kiintelijensia za kwa nini ilifanyika hivyo ni wewe humu jamvini ni wewe.
Mwalimu hakukurupuka tu na kusema anam-support Ojukwu. Alieleza articulately kwa nini amefikia uamuzi huo. Huyu Willy alitakiwa kutueleza kwa nini hakubaliani na sababu alizotoa Nyerere kuunga mkono uasi ule, badala yake anakuja na kusema it was wrong, how? Hii ni aibu kuletwa na mtoto wa Malecela na mtu aliyetaka kutuwakilisha bunge la EA.
 
Kuna tetesi kuwa Wiliam ni informer wa TISS na amekuwa foreign asset department kwa kipindi na sasa karudi home kuendelea na kazi yake, Kupiga porojo sisi tunaona kama hazina maana hizi ni kazi za kawaida za TISS kuweka watu attention na mada nyepesi nyepesi badala ya kufikria mambo ya maana ya kukomboa nchi.KWA HIYO MEMBERS AND GREAT THINKERS TAKE CARE.THE MAN IS AT WORK.
Mkuu unaishi dunia gani? Bado una hofu na kitu/watu wanaoitwa usalama wa taifa? Tafadhali mkuu... zilikuwa enzi zilee... mtu ''akisemwa'' yupo usalama wa taifa kila mtu anamwogopa. Sio sasa. Watu siku hizi tumeelimika. Tunajua ni binadamu wa kawaida kama sisi.
 
Huu sasa utani William, Mzee yuko hapo Mvumi, unashindwa kumuuliza unataka wana JF? Baba yako na Nyerere ndo wanajua sababu, naambiwa mpaka walipeleka wanajeshi kumsaidia Ojukwu, wakafyekwa karibu wote. Muulize Mzee wetu Cigwemisi.
 
Mwalimu hakukurupuka tu na kusema anam-support Ojukwu. Alieleza articulately kwa nini amefikia uamuzi huo. Huyu Willy alitakiwa kutueleza kwa nini hakubaliani na sababu alizotoa Nyerere kuunga mkono uasi ule, badala yake anakuja na kusema it was wrong, how? Hii ni aibu kuletwa na mtoto wa Malecela na mtu aliyetaka kutuwakilisha bunge la EA.
William hakutafiti ni kwa nini Nyerere (RIP) aliwaunga mkono. Yeye kakurupuka vuuuruuu kama jiwe linavyofyatuka kwenye manati na kuanzisha thread, akiongozwa na chuki yake kwa Mwalimu kwa kumkwamisha mzee wake kwenye ndoto zake za ''urahisi''. Inashangaza ni juzi juzi alikuwa anamsifu Jonas Savimbi na kumwita ''hero'' wakati na yeye alikuwa anataka ''kuondoa serikali halali madarakani'' kulingana na shutuma zake.
 
ritz nashukuru sana leo kwa kuamuwa kunipa darasa, nami kwa sababu nia yangu ni kujifunza natumaini nitajifunza mengi kutoka kwako.

Umesema Isarel siyo Taifa la kikristo na Wakristo ni wachache mno sasa hapa najawa na maswali zaidi je ni kwa nini Chuki za wachukia Israel huwa zinafungamanishwa na Wakristo?

Ningependa kujuwa kumbe Palestina ina Wakristo na wanamgambo kama Hizbollah yana Wakristu wengi tu je ni kwa nini Waislamu wao ndio mashabiki wa makundi haya ya Wanamgambo?

Kwa ufahamu wangu mdogo Syria ina Waislamu wengi sana na wanauwawa kwa dozens na Majeshi ya Rais ambaye ni mwislamu, ila natatizo mpaka leo sijaona makundi kama Bakwata, shura ya Maimamu, Uamsho kufanya maandamano makubwa kupinga mauwaji ya waislamu hawa ma Syria?

Ni nini kimejificha nyuma ya Uislamu? Je unaweza kunitajia hasa Crusaders ni kina nani hasa?

Palestine ndio kuna Wakiristo wengi PLO kiongozi wao wa na muandishi wa masuala ya kisiasa ni Mkiristu, Meya wa Ramallah alikuwa Mkiristu, Meya Bethlehem alikuwa Mkirsto, Balozi wa Urusi kutoka Palestine alikuwa Mkristu maeneo ya Gaza kuna Wakirstu wengi wazawa na wengine kutoka maeneo ya Jordan na Lebanon...hata Makanisa makubwa ya kiistoria yapo Palestine kama Kanisa la Natvity, Kanisa Sepulchre, tatizo lilopo Mashariki ya Kati ni kugombea Ardhi na dharuma wanayofanya Waisrael kuwaonea wa Palestine.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ral
JAMAA,walikuwa mpaka na hela yao-
FAE_Biafra_banknote.jpg
 
ukiona mnakasha unaingiza neno 'biafra', juwa kuwa huo mnakasha unahusu mambo ya udini. napita.
 
Nasikitika sana pale ambapo JF inageuzwa kuwa kijiwe cha ubishi usio na tija.Tena hasa pale premium member anapokuwa ndiye sababu ya tabia hii.JF hasa jukwaa la siasa ni mahali pa hoja na kuelimishana yale tusiyoyajua kuhusu nchi yetu.Mtu unaweka mjadala mpana kama huu huku ukiwa reluctant kupokea lolote na kubishia kila kitu bila kujustify kwa hoja,unashangaza.Umeulizwa swali,umejibiwa.Umepewa mpaka vitabu usome, hutaki kwa hoja dhaifu kwamba haviko objective!Umeletewa government statement concerning the same issu unaigore na kuendeleza porojo zilezile za "tumefanya madudu mengi ndiyo maana tupo hapa tulipo".Inawezekana yapo madudu mengine lakini at least hili unaelimishwa hapa kuwa halikuwa dudu,si ukubali kuelimika kaka.Ukubali kuwa kuna vitu vinahitaji thorough research kabla ya kutaka kuvicriticize.Kama unapewa hoja with supporting documents na unazipinga basi tupe za kwako.Kama unapewa majina ya vitabu vya kusoma na unasema havipo objective(kabla hata hujavisoma)basi tupe vitabu ambavyo vipo objective na vinavyosapoti hoja yako(ambayo mpaka sasa haijulikani).Kinyume na hapo utakuwa ni ubishi usio na mwisho na JF itageuzwa kuwa kilinge cha ubishi.
 
Back
Top Bottom