Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Kuna mtu kakushauri ukamuulize mzee alafu uje kushare na sisi insider information, katika mtu ambaye anaweza akawa na access ya information za kisiasa na kiintelijensia za kwa nini ilifanyika hivyo ni wewe humu jamvini ni wewe.- Cha muhimu ni kuelimishana mkuu the authorty wa Vita vya Nigeria na kwa nini tuliounga mkono maaasi, vipi ukiweka darasa hapa!!
William.