Ncha
JF-Expert Member
- Jul 8, 2008
- 254
- 24
Kweli hii ni nchi ya machinga. nadhani hata zile ajira milioni 1 alizoahidi mkuu ni za kimachinga na sio endelevu. ndio maana alikimbizia mamilioni huko nmb na kwenye sacos watu wakaanzishe magenge na viduka.
Viwanda kama hivyo kimoja kina uwezo wa kazalisha ajira 50 elfu direct na indirect. hata kale kauchumi kake alikosoma hakamsaidii. hatuwekezi kwenye viwanda wala kilimo sasa sijui nini nguzo yetu!!!
inauma sana kuona kila kukicha ni hatua mbili nyuma, sijui tutaishia kutumbukia wapi
Viwanda kama hivyo kimoja kina uwezo wa kazalisha ajira 50 elfu direct na indirect. hata kale kauchumi kake alikosoma hakamsaidii. hatuwekezi kwenye viwanda wala kilimo sasa sijui nini nguzo yetu!!!
inauma sana kuona kila kukicha ni hatua mbili nyuma, sijui tutaishia kutumbukia wapi