Mmatengo huyu wa Mkumbi huko Mbinga nadhan ataacha unazi wa CCM na kufanya kazi kiweledi zaid.
Tatizo lililokuwa limelikumba jeshi letu la ulinzi ni madai ya uingizaji wa siasa jeshini, na chembe za udini kushamiri ndani ya jeshi.
Simujui kwa undani Jenerali Ndomba, lakini kwakifupi inatajwa kuwa huyo ni moja ya masalia imara ya vijana wa Mwalimu Nyerere walioamini katika UZALENDO.
Nimtu mashuhuri mwenye uso wa kijana akijitunuku tabasamu la nidhamu ya kijeshi, wadadisi ndani ya SIASA za kijeshi wanamtaja kuwa ndie mrithi stahiki wa Mkuu wa Majeshi Aden Mwamunyange.
Anatajwa kuwa ni kijana na tokezo la akina Jen Waitara, Jen Mboma na Jen Mwamunyange.
Naamini katika safari hii iliyo ndefu na inayokaribia ukingoni yakulikomboa Taifa letu, General Ndomba asiwe kikwazo wa mageuzi haya ya kiraia yenye kuongozwa na alama za nyakati ambazo kihistoria na kimaandiko hazijawahi kupingwa kwa mtutu wala kombora.
Wakati muafaka wa kufuatilia ile trilion 3 iliyofichwa south
Kwani kupewa hvyo vyeo
mpaka wapandishwe kuwa sijui ma luten, na kama ni hivyo kwani hakuna
waliofikia huo u luten wapewe hizo nyazifa? naomba kujuzwa
bandugu
I hope hataingiza siasa jesheni kama alivyofanya Shimbo. Muda utaamua.
I hope hataingiza siasa jesheni kama alivyofanya Shimbo. Muda utaamua.
Ni rafiki mkubwa wa JK sababu ya utendaji wake na msimamo wake!!alishapendekezwa hapo nyuma kumrithi Dr Hosea pale Takukuru!iliposhindikana akapewa utumishi jeshini,baadae akaenda JKT,,,ni mchapakazi sana na hodari!Hongera JK kwa hilo!