Gem Slaves: Tanzanite's child labour - Newest mapanki

Kwa kwali inatia huzuni Jasusi, sasa sijiu kama ndio mambo ya utandawazi hayo? exporting hospitality! bottom line ni kuwa umaskini unatutesa
 
huyo mama kidogo anaonekana muongo, anasema his father was dead fighting. Fighting what? we never had war in bongo. I don't know man about hawa mademu kuwa wabongo, but who am I to judge bila ushahidi.
 
ile lafudhi inasound kama mtu wa BK, inawezekana ni wakati ule wa nduli Amin
 
Huyu mama kweli ni matanzania?

Sijuwi hizi filamu zinania ya kueleza nini - labda kuhusu ukahaba Dubai. Kwani ajabu ni nini ukahaba umeenea dunia nzima tena ile mbaya yake. Ukaumu luti nao umefikia wanaume kuoana wao kwa wao kwa kibali cha serikali hizi pande za western world. Hizi nazo zingetembezwa walimwengu waone.
 
Kama ni wa BK, la ajabu ni lipi kwani "kuoana" kwao ilikuwa ni kazi sio starehe tu. Unakumbuka askari wa nduli Amin walivyowaoa wakati mume anaangalia na akaja kuhadithia.

Duh - kama ni wa BK basi hiyo ni kubwa baada ya kuondowa vibatali pale kisutu. Jamani rudisheni vibatali dada zetu wasiende kupigwa picha huko majuu. Hivi nauli ya kuenda huko alitowa wapi?
 
Wazee,
Kuna mtu alifuatilia kuhusu ile filamu ya Mererani ilipoonyeshwa Marekani?

Wachimbaji wenyewe wanadai kuwa filamu haina ukweli na wanadai kuna njama (conspiracy theory)...

Wazee, na hasa mliochangia mada hii huko nyuma mnasemaje?

AREMA waipinga filamu ya utumwa migodini

Na David Frank, Arusha

CHAMA cha Wachimbaji Wadogo wa Madini Mkoa wa Arusha (AREMA), kimeipinga filamu ya watumwa wa vito ambayo inaonyesha utumikishwaji wa watoto wadogo katika machimbo ya tanzanite, na kudai kuwa ina lengo la kushusha thamani ya madini hayo katika soko la dunia.

Taarifa ya AREMA kwa vyombo vya habari, iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Isaya Latema, imeeleza kuwa madai ya watoto kutumikishwa katika migodi hiyo si ya kweli.

“Tunapenda kuujulisha umma wa Watanzania na ulimwengu mzima kwamba, madai kuhusu utumikishwaji wa watoto katika migodi ya tanzanite Mererani si ya kweli, na kwamba lengo la filamu hiyo ni kushusha thamani ya madini na mpango huu umeandaliwa na kundi ambalo tunalifahamu,” ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.

Alisema filamu hiyo iliyoandaliwa na Shirika la Habari la IRIN imetengenezwa katika eneo maarufu la Machekecho ambalo tayari serikali ililifunga kutokana na kutokuwa na udhibiti na kusababisha vifo vya wachimbaji hao.

Alisema lengo la filamu hiyo ni kuporomosha biashara ya madini ya tanzanite Mererani ambayo hivi sasa imekua na kuingiza sh zaidi ya bilioni 300 kwa mwaka.

Katibu huyo ameeleza kuwa, pia madai hayo ya kutumikishwa watoto hayana msingi, kwani waandaaji wa filamu hiyo wangeweza kuwataja wamiliki wa migodi waliyochukua picha kwani migodi yote ipo kisheria na tayari imepiga marufuku utumikishwaji watoto.

Hata hivyo, chama hicho kimeiomba serikali kukanusha kwa nguvu zote filamu hiyo kwani ina lengo la kuwadhoofisha wachimbaji wadogo ambao hawana nguvu za kujitangaza kimataifa ili wauze madini yao.

Source: Tanzania Daima
 
Mwangenzi

Hawa AREMA hawana tofauti na wale wakazi wa Mwanza ambao waliandamana kupinga ile Filamu ya Mapanki.

Filamu hii ni ukweli tupu hamna cha chumvi wala dagaa, ni ukweli mtu, binafsi nimefanya kazi na shirika husika na hata katika hatua za mwanzo za filamu hii nilifuatilia.

Unajua sisi watanzania ni wajinga sana kiasi kwamba hatujui mbele wala nyuma. Hawa AREMA wenyewe ukiwauliza kama wameshaona hiyo filamu utashangaa majibu yao.

Jamani ni nani asiyejua hali halisi ya Mererani, nani asiyejua au kusikia habari za "nyoka" au yale maafa ya 2003 yaliyoua watu 61 waliokufa walikuwa akina nani kama siyo watoto..

Yaani mtu huhitaji utafiti wa aina yo yote ile unachotakiwa kufanya ni kupita tu pale Mererani.

Hii Serikali itatumailiza kwa fedha zetu wenyewe.
 
Kwanza chunguzeni hao viongozi wa Arema wana elimu gani then tujadili mada.Hawa wanatumiwa kubwabwaja tu hawana lao .Ndiyo Lowasa alikuwa huko huu ndiyo umafia wake wa kuwaita watu na kuwaeleza kushikamana hata kwa ujinga .
 
Administrator said:
TVT Walinyimwa kibali na Bwana Sauper

Je wale walioweka notice "tafadhali soma hapa kabla..." unapotaka kuingia kwenye website ya Sauper walipewa kibali na mfaransa huyo?
 
Mwanagenzi said:
Wazee,
Kuna mtu alifuatilia kuhusu ile filamu ya Mererani ilipoonyeshwa Marekani?

Wachimbaji wenyewe wanadai kuwa filamu haina ukweli na wanadai kuna njama (conspiracy theory)...

Wazee, na hasa mliochangia mada hii huko nyuma mnasemaje?

AREMA waipinga filamu ya utumwa migodini

Na David Frank, Arusha

CHAMA cha Wachimbaji Wadogo wa Madini Mkoa wa Arusha (AREMA), kimeipinga filamu ya watumwa wa vito ambayo inaonyesha utumikishwaji wa watoto wadogo katika machimbo ya tanzanite, na kudai kuwa ina lengo la kushusha thamani ya madini hayo katika soko la dunia.

Taarifa ya AREMA kwa vyombo vya habari, iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Isaya Latema, imeeleza kuwa madai ya watoto kutumikishwa katika migodi hiyo si ya kweli.

“Tunapenda kuujulisha umma wa Watanzania na ulimwengu mzima kwamba, madai kuhusu utumikishwaji wa watoto katika migodi ya tanzanite Mererani si ya kweli, na kwamba lengo la filamu hiyo ni kushusha thamani ya madini na mpango huu umeandaliwa na kundi ambalo tunalifahamu,” ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.

Alisema filamu hiyo iliyoandaliwa na Shirika la Habari la IRIN imetengenezwa katika eneo maarufu la Machekecho ambalo tayari serikali ililifunga kutokana na kutokuwa na udhibiti na kusababisha vifo vya wachimbaji hao.

Alisema lengo la filamu hiyo ni kuporomosha biashara ya madini ya tanzanite Mererani ambayo hivi sasa imekua na kuingiza sh zaidi ya bilioni 300 kwa mwaka.

Katibu huyo ameeleza kuwa, pia madai hayo ya kutumikishwa watoto hayana msingi, kwani waandaaji wa filamu hiyo wangeweza kuwataja wamiliki wa migodi waliyochukua picha kwani migodi yote ipo kisheria na tayari imepiga marufuku utumikishwaji watoto.

Hata hivyo, chama hicho kimeiomba serikali kukanusha kwa nguvu zote filamu hiyo kwani ina lengo la kuwadhoofisha wachimbaji wadogo ambao hawana nguvu za kujitangaza kimataifa ili wauze madini yao.

Source: Tanzania Daima

Nadhani hakuna anayetegemea mnyanyasaji kumtetea mnyanyaswaji.Child lbaour ni problem sio mererani tu bali hata kwenye baadhi ya makazi ambao vibinti vidogo vinafanyishwa kwazi za uhauzigeli kwa malipo kidogo na kunyimwa access ya elimu.Tatizo la watawala wetu ni kwamba hawataki kuambiwa ukweli hata pale wanapokosea,na pindi ukweli huo ukionyeshwa na "mgeni" ndio wanakuwa na excuse kubwa kwamba lengo ni kuhujumu maslahi ya Taifa.Sijui hao "wageni" wanaototosha madini yetu kila kukicha hawahujumi maslahi ya Taifa!
 
Maneno yako ni ya kweli kabisa mamb ya tumbo haya na ahadi unaweza hata kuua mwanao .
 
Mnakumbuka ile filamu ya Mererani?


Exporters panic over UN film on child labour in tanzanite mines

The government is preparing a campaign to denounce the message of the documentary, which it says 'is bound to sink the $300 million-a-year trade.' WILFRED EDWIN reports


The aftershocks of the controversial film on tanzanite released last month have started to be felt, with dealers in the precious gemstones facing difficulties in penetrating export markets.

The documentary, titled Gem Slaves: Tanzanite's Child Labour, which was launched at UN headquarters in New York mid September and has shown on some European, UK and US television stations, is turning away foreign clients who "don’t want to be mixed up in child abuse claims," one trader told The EastAfrican last week.

The film "tells the story of the child miners of Mererani in northern Tanzania who are daily forced underground in terrible conditions, by both desperate poverty and the global hunger for this precious gem," according to its makers, IRIN, the Integrated Regional Information Network run by the UN’s Office for Co-ordination of Humanitarian Affairs (UN-OCHA)

Sammy Mollel, chairman of the Tanzania Mineral Dealers Association (Tamida), confirmed last week that some of his members have already started losing clients in the lucrative foreign market, particularly in the US.

"Some big clients have indicated they don’t wish to be mixed up in these child labour claims and are simply telling suppliers that they have enough stock," he said, and called on the government to "take appropriate measures to repair the damaged image" of the tanzanite trade.

"Let the government come out now and strongly refute what’s in the film, otherwise it will have far reaching effects on the tanzanite trade," he added.

Mererani is the only place in the world where the precious stone is mined.

IRIN says in the film that every day thousands of children risk their lives in poorly constructed mine shafts for the sake of barely a meal a day, and that "despite efforts to curb this deadly practice, the global thirst for tanzanite continues to drive these children underground."

Exporters say the tanzanite industry, estimated to be worth $300 million a year, may end up taking severe damage in the same way that the fish fillet export market was hit in 2005 by Europe's airing of another documentary film, by Austrian director Hubert Sauper, titled Darwin’s Nightmare.

It would also be the second time the foreign market of the blue-violet precious stone has been affected by an image problem, after reports in 2002 alleged that Osama bin Laden’s Al Qaeda terrorist network was profiting from the tanzanite trade.

Several US gemstone stores shut out tanzanite temporarily. The Tanzanian government is apparently preparing to embark on a campaign to denounce the message of the documentary.

Paul Massanja, the acting Commissioner of Minerals at the Ministry of Energy and Minerals, told The EastAfrican last week the film "will surely sink the tanzanite market for concocted reasons." He said the government will this week embark on "an education campaign" through the media to bring the truth to light."

It appears that a permit was issued by the Prime Minister's Office in Arusha in October last year through the Information Services Division (Maelezo), to enable the filmmakers to "make a documentary film which will cover Mererani (Simanjiro), Manyara region and Arusha city."

But Mr Massanja said the filmmakers were denied filming permission in Mererani mining area after they failed to satisfy the Zonal Mines Officer about their mission and objectives, pursuant to Government Notice No 187 of July 30, 2001, section 11, "which puts a prerequisite for visitors entering the Mererani controlled area to declare their purpose for security reasons."

Furthermore, said Mr Massanja, the filming didn’t include stakeholders, and contains "wrong facts" that were "deliberately used with the aim of distorting the gem market." Tanzanite miners operate under guidelines and laws that require them to employ only people above 16 years of age in their mining activities, according to the Commissioner.

However, he conceded that there might be some children pushed by poverty to work outside the mining areas, but "these are merely scavengers who do not work in the mining industry per se as they are not allowed, but only work illegally outside the mines in the sand separation process."

Said Mr Massanja, "Child labour could be in what we call the ‘mineral rush’ [that occurs when a new mine is opened], but not in big mining in Mererani, as all mining there is subject to rules and laws governing the age limit."

The current total of workers employed in the tanzanite industry, including in the tanzanite One Company, Blocks D and B, amounts to 9,054, said Mr Massanja, querying the film’s allegations that over 4,000 children work in the mines.

According to the IRIN website, "As with all IRIN Films, the aim is to increase awareness and understanding of humanitarian crises and to assist fellow humanitarian actors in their advocacy efforts. As a humanitarian news agency, IRIN specialises in the creation of advocacy tools but remains dependant on its partners for the dissemination of these messages."

Source: The East African October 9-15, 2006
 
Back
Top Bottom