pole sana kwa mawazo hayo jamaa yangu,,,Hakuna kulala mpaka haki ya marehemu ipatikane.
Hakuna kulala teh labda ukeshe jf, watz hatuna mioyo ya hivoHakuna kulala mpaka haki ya marehemu ipatikane.
na mapesa hayo hayo ndiyo yanayosababisha tuuwawe!Msiwabugudhi wachina wana mapesa.
Hivi kweli Koffi Olomide angeyafanya hayo Tanzania Serikali ingeweza kumfukuza nchini?Koffi olomide amemrukia mcheza show wake akafukuzwa Nairobi. Sisi mchina anaua mtz tunazogoa.
Subiri turudi tuko Dodoma kuimarisha ulinziSijasikia ata kauli ya Kiongozi yeyote mpaka sasa ata Kiongozi Wa polisi waandishi Wa habari hizi ndio habari za kufuatilia kwa uchunguzi Na kuleta ukweli Na haki itendeke
Mshana jr, unakumbusha machungu...kwani akina lizaboni hawajasoma Dodoma???
Ningekuwa na uwezo hizi picha ningezipeleka mwenyewe magogoni nikamkabidhi Magu mkononiMshana jr, unakumbusha machungu...kwani akina lizaboni hawajasoma Dodoma???
Kijana mmoja aliyejukikana kwa jina moja (Elisha) mkazi wa Kabindi Mkoani Geita amefariki Dunia baada ya kupigwa na mchina kwa jina "Mr. Swii" kwa madai ya kwamba alilalamika ili wapandishiwe ongezeko la mshahara. Taarifa zinadai waliopigwa wengine wawili wako hospitali kwa matibabu zaidi.
View attachment 369629
Marehemu alipopigwa akaenda Hospitali na baada ya hapo aliambiwa arudi kazini huku hali yake ikiwa mbaya na ndipo alipodondoka na kuzimia na wakafanya jitihada ya kumpeleka hospitali ya Mkoa kabla ya kufariki Dunia.
View attachment 369630
Tukio hili limetokea katika Mgodi wa Nyamahuna uliopo Katoro Mkoa wa Geita. Mgodi huu unachimba Dhahabu na Shaba.
View attachment 369631
Mashuhuda wanasema kuwa "Mr. Swii" pamoja na walinzi wa Mgodi huo ndio waliohusika katika kuwapiga Wafanyakazi hao na kupelekea mfanyakazi mmoja kufariki Dunia kwa Kipigo hicho..
China ni tawi la ccm,
Polisi ni tawi la ccm
Kuna cha ziada?
PKA mtanzania