mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Nchi inauzwa mchana kabisa na baadhi yetu tunashangilia uonevu wa watanzania wenzentu kwa kisingizio cha sheria lakini hawaoni mwanzo wa tatizo ni kuwaondoa wao na kumpa mtu mwingine bila kujali mamia hao wanaondoka wanakwenda wapi? Iko siku inakuja FF anasema labda kuna kikundi kina mobilize hizo fujo, ni kweli kipo kikundi kinacho nufaika na raslimali za nchi na kuwasahau raia wa nchi hii, hao ndio wanaomobilize hizi zinzoitwa fujo na siku yao ikifika sheria itawahukumu kama sio umma huu wa watanzania ndio utakao toa hukumu!