wadau nimepata taarifa kutoka Geita kuwa mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Geita bwana Msukuma ametakiwa na madiwani wenzake wa CCM kujihuzuru nafasi yake ya uenyekiti wa Halmashauri.
Bwana huyu amekuwa akitoa madai ambayo hakufanikisha kuyathibitisha dhidi ya watendaji wa halmashauri hiyo, Mf alidai eneo la hospital limeuzwa alipotakiwa kuthibitisha akashindwa, aliwahi kudai anandaa maandamano ya kupinga uwepo wa mgodi wa GGM jambo ambalo hata hivyo hakulitekeleza hadi muda aliouweka ulipopita.
Waliopo Geita tutafurahi mkitupa updates.
Bwana huyu amekuwa akitoa madai ambayo hakufanikisha kuyathibitisha dhidi ya watendaji wa halmashauri hiyo, Mf alidai eneo la hospital limeuzwa alipotakiwa kuthibitisha akashindwa, aliwahi kudai anandaa maandamano ya kupinga uwepo wa mgodi wa GGM jambo ambalo hata hivyo hakulitekeleza hadi muda aliouweka ulipopita.
Waliopo Geita tutafurahi mkitupa updates.