geprony
Member
- Mar 17, 2009
- 23
- 1
Hello wadau
Nimepata PC tower ambayo nafikiri jamaa alikuwa anaitumia kwa Games maana weka graphic card ku enhance pictures.Tatizo ni kuwa nimejaribu kuiwasha hakuna image sent to the screen,nikaitoa graphic card na kujaribu on board graphic card no image na power inakuwa inakata every second kama inataka kuwa lakini inazima. Keyboard light haziwaki na kwenye screen napata message no input device in both scenarios with or without Ge force card wadau naombeni ushauri.
Geprony
Nimepata PC tower ambayo nafikiri jamaa alikuwa anaitumia kwa Games maana weka graphic card ku enhance pictures.Tatizo ni kuwa nimejaribu kuiwasha hakuna image sent to the screen,nikaitoa graphic card na kujaribu on board graphic card no image na power inakuwa inakata every second kama inataka kuwa lakini inazima. Keyboard light haziwaki na kwenye screen napata message no input device in both scenarios with or without Ge force card wadau naombeni ushauri.
Geprony