Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
- Thread starter
- #61
Vigezo vya kurank nchi viko vingi inategemea unatumia vigezo vip?
Stop being myopic hukusoma DS chuoni?on develepment?
Pitia sorce mbalimbali lafu ndoo uje na hoja zako apa
Hukusoma thread? Nimepitia SOURCE 10 ZOTE zinacheza + au - kidogo tu. Kwa maneno mengine nafasi ya 30 ni wastani.
Nyie acheni tu, kuitoa nchi toka kumi bora katika umasikini mpaka Nafgasi ya 30 si mchezo.
Amini nakwambia baada ya miaka 5 tunacheza katika kumi bora tajiri Afrika. Mnachotakiwa ni kutofanya kosa na kumpa nchi KILAZA.