Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gazeti hili lilipokuwa linakandia CCM lilikuwa halijanunuliwa. Sasa linaposema ukweli kuhusu CDM...limenunuliwa. ULIMBUKENI HUU!
Mashabiki wa cdm watakomaa lini na kuachana na uvivu wa kufikiri unaowafanya watoe mawazo ya kipuuzi kama hii pumba iliyomwagwa hapa?
Yaani we jamaa huna hata chembe ya utu. Kwako wewe habari ya ukweli ni ile inayosifia magwanda lakini nyigine zote ni za uongo. Basi endelea kusoma Tz daima kama unataka aina hiyo ya habari.
Kwahiyo wewe wataka gazeti liwasifie CDM ndio utaamini kuwa linaandika habari za kweli? CDM hatoki igunga huo ndio ukweli.
Raia mwema kwishnei. Wapo kimaslah kwa sasa.
Utafiti wangu umejionyesha dhahiri baada ya hekaheka za kampeni za Igunga kuanza.Gazeti hili likiripoti habari ya Igunga limekuwa likionyesha waziwazi kwamba CCM itashinda. Tafuta nakala ya wiki iliyopita.
Gazeti la leo limetoa taarifa kwamba Chadema na CUF watashindwa kwa sababu watagawana kura za upinzani,na habari hii imewekwa ukurasa wa mbele kwa makusudi na naamini imepangwa.
Sasa nikajiuliza kwanini gazeti hili liseme eti CUF na Chadema watagawana kura? Ina maana kura za kugawanyika ni za CUF na Chadema tu?
Ningependa kuwashauri wahariri wa gazeti hili watambue kwamba imani kubwa wananchi waliyokuwa wanaonyesha kwa gazeti hili inaanza kufifia na hakika mimi ni miongoni mwa watu watakaokuwa wanafikiri mara mbilimbili wakati wa kununua gazeti hili.
Nawasilisha.
Mimi mtizamo wangu uko tofauti kidogo. Kwenye gazeti hilo hilo kuna makala za kina zinazoelezea upande wa pili wa shilingi, makala ya Raimwema na ile ya lula wa Nzela ni mfano.Afadhali mmeliweka hili hadaharani ,wanasikitisha sana ila kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho
nimekuwa muumini mkubwa wa gazeti la raia mwema kutokana na ukweli kwamba ni moja ya magazeti yanayoandika habari kwa weledi mkubwa.
Waandishi wa gazeti hili nimekuwa nikiwaona ni miongoni mwa waandishi wenye weledi mkubwa na wasioyumbishwa. Hata waandishi wa kujitegemea wanaotuma taarifa kwenye gazeti hili ni wa kutiliwa mfano.
Nimeanza kuwa na mashaka baada ya kufanya tathmini kwa muda wa miezi kama mitatu hivi kama bado baadhi ya waandishi wa gazeti hili wanatilia maanani kiapo chao cha uandishi.
Nakumbuka katibu wa itikadi na uenezi wa ccm, nape nnauye alitembelea vyombo karibu vyote vya habari na gazeti raia mwema likiwa mojawapo. Tangu wakati huo nimekuwa siridhishwi na habari zinazoongoza kwenye gazeti hilo ukurasa wa mbele. Ni habari ambazo ni tofauti sana na zilivyokuwa zinaripotiwa mwanzo.
Wadau mtanisaidia lakini mwenye kufanya tathmini alinganishe habari zinazoongoza ukurasa wa mbele kwa muda niliotaja na jinsi ilivyokuwa inaripotiwa kabla.
utafiti wangu umejionyesha dhahiri baada ya hekaheka za kampeni za igunga kuanza.gazeti hili likiripoti habari ya igunga limekuwa likionyesha waziwazi kwamba ccm itashinda. Tafuta nakala ya wiki iliyopita.
Gazeti la leo limetoa taarifa kwamba chadema na cuf watashindwa kwa sababu watagawana kura za upinzani,na habari hii imewekwa ukurasa wa mbele kwa makusudi na naamini imepangwa.
Sasa nikajiuliza kwanini gazeti hili liseme eti cuf na chadema watagawana kura? Ina maana kura za kugawanyika ni za cuf na chadema tu?
ningependa kuwashauri wahariri wa gazeti hili watambue kwamba imani kubwa wananchi waliyokuwa wanaonyesha kwa gazeti hili inaanza kufifia na hakika mimi ni miongoni mwa watu watakaokuwa wanafikiri mara mbilimbili wakati wa kununua gazeti hili.
Nawasilisha.
Mimi naamini gazeti la Raia Mwema liko huru kuandika habari yoyote ile wanayoona inafaa kwa kipindi fulani ili mradi haivunji maadiri ya uandishi wa habari. Matharani ukisoma kwa makini maudhui yaliyomo kwenye habari ya "WASTAAFU KUWAKABILI SLAA, LIPUMBA...."habari hii ni nzuri sana kwa ajili ya mikakati ya ushindi kwa CDM. Tuwe tayari kusoma hata yale tusiyoyapenda ili kujua wale waliyoyaandika wana mawazo gani kuhusu suala hili ili kupanga mikakati ya uhakikaTena km toleo la leo trh 21-Sept, habari km ya WASTAAFU KUWAKABILI SLAA, LIPUMBA..... nahisi Philip Mangula ndo kaiandika halafu Raia Mwema wakaitoa..... Vichwa vilivyobaki labda ni Msomaji Raia na Johnson Mbwambo? Kulikoni Jenerali siku hz, haonekani? No wonder karibu matangazo yote ya serikali wanayapata wao...........
Analysis ya Raia mwema ilikuwa correct, but sadly wrong conclusion. The correct conclusion ilitakiwa iwe hivyo, CCM Igunga watashindwa kwasababu wamesimamisha vyama viwili CCM A na CCM B, hivyo wa-CCM watagawanya kura zao kati ya CCM A na CCM B, na kuipa ushindi mwepesi CDM..Gazeti la leo limetoa taarifa kwamba Chadema na CUF watashindwa kwa sababu watagawana kura za upinzani,na habari hii imewekwa ukurasa wa mbele kwa makusudi na naamini imepangwa.Sasa nikajiuliza kwanini gazeti hili liseme eti CUF na Chadema watagawana kura? Ina maana kura za kugawanyika ni za CUF na Chadema tu?[/B].