HTML:
Ukimsoma semtawa ndie ambae huandika story nyingi za ZITTO,SITA,MEMBE,CHENGE.na hivi karibuni amekuwa ni kijana ambae anafanya kazi kwa kusaidia mawazo ya BOSI WETU anaitwa MAKUNGA na Pia hapa ndani sisi humuita jembe la IKULU, ukitazama mahusiano ya IKULU,ZITTO na mpango mchafu wa [COLOR="blue"]kukibomoa chama chetu vyote hivi vitakueleza nini bwana mdogo [/COLOR]semtawa anafanya
Wewe mwenyewe unaonekana haukidhi viwango bora vya uandishi maana unajitambulisha na CDM. Kwa vyovyote vile na wewe utakuwa unaandika kwa mwelekeo wa chama unachoita chenu. Ama kweli Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo.