Hatimaye siri yafichuka: Yagundulika Daughter ni MWANAUME!..... Klorokwini atimua mbio baada ya kukutana naye kwenye miadi ya kungonoka!
akikushika?avatar ya feisi buku yazua utata! Jf members wapigana vikumbo kwenye pm
lizzy: Hakuna mwanaume wa kunioa bongo
tafrani yazuka jukwaa la mambo ya kikubwa! Ni baada ya picha ya mod akijivinjari na member wa jf kupostiwa.
Vijana wa facebook wagombania jimama la jf.
Firstlady1 avishwa pete na mume wa mtu!
Jf yapata mushkeli, pm za members zamwagika kwenye jukwaa
faiza foxy akutwa tilalila show ya khanga moja ndembendembe!
Vidume wa jf wanaotumia id za kike wagundulika! Paw kuwapiga life ban!
Preta: Nimechoka kusubiri ndoa heri nizae sasa!
Id anayotumia jk jf yagundulika. Invisible akataa kuzungumza.
sitaki makuu mwaka huu ..i will just go to church....wewe unataka nini? kwenda wapi?
Kongosho amnunua mke wa TOWASHI
Feisi buku aanika mwanaume wa kumuoa...Ni JF Premium Member
Washawasha amzimia RussianRoulette, PM zao zagundulika.
Mzee Mwanakijiji abambikiziwa watoto. DNA yaonesha baba ni Malaria Sugu.
Rejao ajiunga Chadema, afichua maovu ya magamba
Faiza Foxy Anaswa akila kiti moto. Ajiumauma ashindwa kujitetetea
Figganigga:Wanawake mashangingi wananinyima usingizi
Eliza wa Tegeta adaiwa kuchukua mume wa mtu, mwenyewe adai alikuwa nae toka zamani