Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
itakuwa Eliza wa Tegeta aka Asha Ngedere awachachafya wanawake wa jf
Eliza wa Tegeta alamba 'Ureceptionist' JF.
Eliza wa Tegeta alamba 'Ureceptionist' JF.
sijui nini ashinda tuzo jukwaa la dini ,afumaniwa siku mbili kabla ya sherehemmmh...bora mimi ntaetoka na clean sheet..!!
Siamini hii toka kwa dada yangu mpendwa
typing error: najua ulitaka kusema baada sio kabla ya sherehe...tena akiwa na Smile..sijui nini ashinda tuzo jukwaa la dini ,afumaniwa siku mbili kabla ya sherehe
nashukuru ku sikia u mzima dear ..
Mi pia najiandaa na Xmass. What do you want for Xmass??
Salute mkuu ahahaaa
kwa kuongezea
invisible afumaniwa na mke wa paw
the finest afumwa gesti na faiza fox
nyani ngabu achezea kichapo chooni airport alikuwa anamtorosha mke wa krolokwin
yoyo amvalisha pete ya uchumba smile
ashadiii arudi jukwaani kwa mbwembe barabara zote zafungwa
asprini afumaniwa tena na baamedi walikuwa uchi kaunta mchana kweupeeeeee
rejao aula ikulu,ritz atupwa wizarani
malaria sugu kampokea yesu jangwani arudisha vibuyu vyote vya uchawi,asema alirithi kwa jirani yake
the boss aoa tena mke wa pili azua balaa harusini
lizzy aachika tena kwa the finest sasa ajichimbia kwa mr rocky mke wa mr rocky aja juu
afrodenzi alilia penzi lake na nyani ngabu asema watu wanamloga
fesi buku na cantalisia wamgombania figaniga mzee wa mia bilcanas
bishanga afumaniwa na mwanafunzi kwenye gari,ni mtoto wa baba mwenye nyumba wake
mamndenyi arudi kwa mumewe asema hawakukutana vichochoroni wapambe jinyongeni
dr riwa afumaniwa na mama mjamzito adai alikuwa anamkanda tumbo mtoto kakaa vibaya
mzizimkavu afumwa live na kizee usiku wa manane uchi adai alikuwa anamfundisha tiba asilia
invisible aachia ushuzi kwenye kikao,wadhamini wajitoa kusaidia jamii forums alimwa barua ya kuachishwa kazi
aminata amwibia mzungu hotelini,ajichimbia south kwasaint ivuga
nasjaz adai wanaume wa bongo hawajui mapenzi sasa hv kujichimbia uarabuni tu
Rejao afanyiwa plastic surgery ya masaburi madaktari wakosea wamdunga sindano ya cement
KIZAAZAA JF MOD ARRAY ACHOKA KUSOMA PM AZIACHIA KWA MEMBER WOTE PM ZAANIKWA HALI TETE JF WATU WOTE WALOG OFF WAJA NA ID MPYA
nitaendelea badae
HaHaha...lol..nimecheka sana. Yaelekea Smile unafanya kazi kwenye moja ya magazeti ya udaku hapa nchini!!
Nimeikubali.dazi pozi afumwa akila denda na faiza fox mchana kweupe
loh lohdazi pozi afumwa akila denda na faiza fox mchana kweupe
nashukuru ku sikia u mzima dear ..
Mi pia najiandaa na Xmass. What do you want for Xmass??
loh loh mi simokongosho amnunua mke wa towashi
feisi buku aanika mwanaume wa kumuoa...ni jf premium member
washawasha amzimia russianroulette, pm zao zagundulika.
Mzee mwanakijiji abambikiziwa watoto. Dna yaonesha baba ni malaria sugu.
Rejao ajiunga chadema, afichua maovu ya magamba
faiza foxy anaswa akila kiti moto. Ajiumauma ashindwa kujitetetea
figganigga:wanawake mashangingi wananinyima usingizi
eliza wa tegeta adaiwa kuchukua mume wa mtu, mwenyewe adai alikuwa nae toka zamani
Halafu hii kama vile ina kaukweli flani. Inabidi tuiondoe kwenye udakuRejao aibuka the Sexiest man wa jf 2011
Kongosho amnunua mke wa TOWASHI
Feisi buku aanika mwanaume wa kumuoa...Ni JF Premium Member
Washawasha amzimia RussianRoulette, PM zao zagundulika.
Mzee Mwanakijiji abambikiziwa watoto. DNA yaonesha baba ni Malaria Sugu.
Rejao ajiunga Chadema, afichua maovu ya magamba
Faiza Foxy Anaswa akila kiti moto. Ajiumauma ashindwa kujitetetea
Figganigga:Wanawake mashangingi wananinyima usingizi
Eliza wa Tegeta adaiwa kuchukua mume wa mtu, mwenyewe adai alikuwa nae toka zamani
Hili ni jukwaa la kuondolea stress..kucheka muhimuKumbe pamoja na uradiko ulonao nawe pia unacheka!