Mutua i think this post is irrelevant. Labda kama ungekua na swali dogo kama hili ungem PM mmojawetu tungekujibu.
Hamna ubaya wowote..ama wee unaonaje? maana kama ni wananchi kuchoswa na mabomu i dont think that stands. Labda useme wanawatishia wananchi ili waichague Chi Chi Em hapo maybe..
Hamna ubaya wowote..ama wee unaonaje? maana kama ni wananchi kuchoswa na mabomu i dont think that stands. Labda useme wanawatishia wananchi ili waichague Chi Chi Em hapo maybe..