kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 143
Leo katika uchambuzi wa Magazeti asubuhi katika Clouds FM Bw. Gerald Hando amesema gazeti la Uhuru la jana Alhamisi halijaripoti kabisa habari ya Yanga kuchezea kipigo cha 3-0. Cha ajabu leo limezuka na habari ya kuisifu Yanga. Je tunapata ujumbe gani kutokana na mtazamo wa gazeti hili?