Mkuu next time ukija na uongo humu ndani ujipange sana. Kuna wakuda balaa halafu wapo fiti usipime, si unaona jinsi walivyokuumbua?Mimi ni mkazi wa kudumu wa KILOSA sasa leo nimeona kichwa cha habari cha gazeti hili kuwa KINANA na NAPE wamezomewa RUAHA huu UZUSHI na UONGO USIO NA TIJA KWA TAIFA
.Watu waliouzulia kwenye mkutano wa hadhara walikuwa wengi kupita kiasi cha kwamba haijawahi kutokea na watu waliuliza maswali wakapata majibu yaliyowalidhisha wakashangilia vya kutosha mpaka sasa ni gumzo hapa ruaha ujio wa katibu mkuu
.mkutano ulivyomalizika tulimsindikiza katibu mkuu kwa shangwe la kutosha. vijana wa CCM waliondoa jukwaa mpaka saa moja na nusu jioni; labda kama wao wafuasi wa CDM walimsubiri kiongozi wao wa chadema saa nae usiku akawahutubia sawa
.Hakuna kama CCM hapa ruaha hawa wapinzani wanahaha na maneno ya udaku kama lilivyoandika gazeti la TANZANIA DAIMA
TUKUBALI SASA WATU WAMEANZA KUPOTEZA IMANI NA CDM ILA INAJITAIDI KUJISAFISHA KWA KILA HALI ILA MFA MAJI AACHI KUTAPATAPA.
ANGALIA HOTUBA YA MBOWE YANI NI ZAIDI KINYAA KWA WATANZANIA KAMA TUNGEMPA NCHI ANGETUPELEKA WAPI?
watumishi wagazeti la TANZANIA DAIMA kwa kuwa mmiliki wenu ni ZERO nanyi hamtakiwi kuwa ZERO kama mmiliki wenu wa gazeti, WATANZANIA WA SASA HAWAHITAJI UZUSHI NA UONGO USIO NA MAANA