KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,713
- 12,063
Gazeti la Uhuru la leo ambalo ni gazeti la serikali limeandika,,"Mtuhumiwa wa ufisadi aenda Nigeria kujisafisha".
Hapa ni patamu,,kama hata chombo cha serikali ya ccm kinatamka waziwazi kwa mtindo huo.
TBC wao bado humpamba kwa jina la "Waziri Mkuu Mstaafu".
Hapa ni patamu,,kama hata chombo cha serikali ya ccm kinatamka waziwazi kwa mtindo huo.
TBC wao bado humpamba kwa jina la "Waziri Mkuu Mstaafu".