Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Waziri Mohammed Seif Khatib, kupitia kampuni yake ya Zanzibar media Corporation aliamua kulibadili gazeti lake la Asumini na kuliita Taifa Huru. gazeti hili lilikuwa lizinduliwe leo wakati wa sherehe za mapinduzi. Kwa maandalizi yatari alishachapisha kopi 200 za gazeti hilo ambazo zilipangwa zigawiwe bure kwa watu watakaohudhuris maadhimisho ya sherehe za mapinduzi katika kiwanja cha Gombani hiko pemba.
lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti
lakini kwa mashanga wa Seif Khatib na wafanyakazi wake, vigogo wa SMZ (ambao hawajatajwa hadi sasa) walizuia kyugawanywa kwa gazeti hilo.
Msajili wa magazeti Zenji, Issa Mohamed anasema alishalisajili gazeti hilo bila matatizo na yeye anashangaa kwa nini viongozi hao wa serikali wamelizuia gazeti hilo.
Seif Khatib mwenyewe naye amesema hajua ni kwa nini gazeti lake limezuiliwa licha ya kutoa taarifa kwa wahusika kwua wamelenga kuchapisha gazeti na kuligawa bure kwa wasomaji watakaohudhuria sherehe za mapinduzi.
walioliona gazeti hilo wanasema limechapisha habari za kawaida tu, ambazo haziwezi kuwa kkigezo cha kulifungua gazeti