Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naamini kwa sababu ukiangalia Askofu Makiadi Mapengo Francoo, yaani sera zake na za chadema zinafanana sana, maana yeye kila siku kwenye ibada badala ya kuwajenga wananchi wake kiroho, anajikita sana kuongelea mambo ya kisiasa. huku ni kushindwa na kazi yake. naye inabidi aanzishe chama ili awe mwanasiasa kama slaa, maana mwenzake slaa ya kanisa yamemshinda pamoja na kanisa kumsomesha biblia hadi ngazi ya udoktari, lkn ameamua kuingia kwenye siasa ili aigeuze nchi iwe parokia ya katoliki kabisaa, kwa hiyo sauti wako sawa kabisaaa, mimi mwenyewe nikienda kanisani mzee mapengo huwa ananiboa, naona bora niende hata kwa mwigira tu au mzee wa upako lusekelo pale ubungo.Angalia vizuri na hako kapicha kadogo juu ya picha kulia kuhusu Bi. Nkya. Sasa sijui hili gazeti lenyewe lina maadili kuliko ya Mwanahalisi? Kazi ipo.
Linamilikiwa na nani hili?
Wewe siyo mtu wa kuingia Kanisani. Akili zako zinakuweka uchi. Wewe ni wale 'wagomea sensa'.Mimi naamini kwa sababu ukiangalia Askofu Makiadi Mapengo Francoo, yaani sera zake na za chadema zinafanana sana, maana yeye kila siku kwenye ibada badala ya kuwajenga wananchi wake kiroho, anajikita sana kuongelea mambo ya kisiasa. huku ni kushindwa na kazi yake. naye inabidi aanzishe chama ili awe mwanasiasa kama slaa, maana mwenzake slaa ya kanisa yamemshinda pamoja na kanisa kumsomesha biblia hadi ngazi ya udoktari, lkn ameamua kuingia kwenye siasa ili aigeuze nchi iwe parokia ya katoliki kabisaa, kwa hiyo sauti wako sawa kabisaaa, mimi mwenyewe nikienda kanisani mzee mapengo huwa ananiboa, naona bora niende hata kwa mwigira tu au mzee wa upako lusekelo pale ubungo.
Mimi naamini kwa sababu ukiangalia Askofu Makiadi Mapengo Francoo, yaani sera zake na za chadema zinafanana sana, maana yeye kila siku kwenye ibada badala ya kuwajenga wananchi wake kiroho, anajikita sana kuongelea mambo ya kisiasa. huku ni kushindwa na kazi yake. naye inabidi aanzishe chama ili awe mwanasiasa kama slaa, maana mwenzake slaa ya kanisa yamemshinda pamoja na kanisa kumsomesha biblia hadi ngazi ya udoktari, lkn ameamua kuingia kwenye siasa ili aigeuze nchi iwe parokia ya katoliki kabisaa, kwa hiyo sauti wako sawa kabisaaa, mimi mwenyewe nikienda kanisani mzee mapengo huwa ananiboa, naona bora niende hata kwa mwigira tu au mzee wa upako lusekelo pale ubungo.
Mkuu Wikolo,
Unaweza ukatuwekea hiyo story kwa undani? Tukiisoma kwa undani tutaweza kujadili kwa marefu yake;
Maana kwa kusoma tu hapo juu utaona tayari liko biased na mwandishi wake ametoka katika vile vyoo vya Kata;
1. Kumtaja John Mnyika (MB) kama 'Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chadema', wakati si kweli.
2. Kuonyesha msimamo wao mwanzo tu mwa habari kwa kuelezea harambee za CHADEMA ni 'hadaa na za kisanii'
3. Nataka kujua uhusiano na influence ya Dkt Slaa (padri mstaafu wa Jimbo Katoliki Mbulu) na Shirika la Yesu (Society of Jesus - S.J, maarufu kama Jesuits).
Wewe siyo mtu wa kuingia Kanisani. Akili zako zinakuweka uchi. Wewe ni wale 'wagomea sensa'.