Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hahahhhhhaaaaa..nipo shift ya usiku nabrowse JF hapa .im joking i nt a coup..mm ni mjasiriamali tu aka mme wake afro dMkuu hapo ndipo ofisi yako ilipo? we ni afande? Salute!
hahahhhhhaaaaa..nipo shift ya usiku nabrowse JF hapa .im joking i nt a coup..mm ni mjasiriamali tu aka mme wake afro dMkuu hapo ndipo ofisi yako ilipo? we ni afande? Salute!
Hahahahahaaaaa! Umeishajua Lizzy hazimii wenye vitambi teh! teh!hapana....mimi ni mjasiriamali..kwani kukaa karibu na mahakama ndio kujua sheria? hahaaaaa.btserious nxt tym u hv to find therenipo tele...sina kitambi.
We una makusudi kweli...ungejua sijala mbuzi muda gani usingeniringishia!!Alafu embu nigawie hayo mawazo kidogo......!Hahaha great idea...karaha zinazogeuka furaha baadae!!Bado hapo hatujaenda mtoni jufua na pale chemchem kuchota maji!!Hahahahaha Dahh we mtoto umenikumbushaNa kunipa raha sana.. halafu mi Ndo napatA lunch sasa hiyo nyama yaMbuzi mmhhh Leo ni mimi na " mawazo tu ' lolzwaonaje kama tukiandika kitabu cha upande ule wa TZ?? Kitabu kita baseKwenye experience za watu. .. tutafanya research ya kutoshaKabla hatuja anza kukiandika...
Nimekodi baiskeli nakuja lolzc mngenitafuta hapa BBT karibu na kituo cha polisi nimejaa tele hapa.
Hahahaha....owkey ntakuja na AD tukupitie hapo utupe offer ya nyama choma!!hapana....mimi ni mjasiriamali..kwani kukaa karibu na mahakama ndio kujua sheria? hahaaaaa.btserious nxt tym u hv to find therenipo tele...sina kitambi.
kwa nini? nitafute haraka sanaWe una makusudi kweli...ungejua sijala mbuzi muda gani usingeniringishia!!Alafu embu nigawie hayo mawazo kidogo......!Hahaha great idea...karaha zinazogeuka furaha baadae!!Bado hapo hatujaenda mtoni jufua na pale chemchem kuchota maji!!
Eti ehhhh?!Nasikia mnada mzuri wa nyama Dodoma...ngoja siku nifuate offer yangu huko!Tena kesho c jumamos? Ntakupeleka mnada wa nyama teh!
Sina wakunihonga mwenzio....lini nije?!kwa nini? nitafute haraka sana
ubahili huo..nalipa mimi chuku tax apoNimekodi baiskeli nakuja lolz
Hahahaha....owkey ntakuja na AD tukupitie hapo utupe offer ya nyama choma!!'
njooni this week end..nitawapa sitting allowance..mchukueni DA namuona anachungulia chini hapoSina wakunihonga mwenzio....lini nije?!
Heheheh....unaanza kwa mbwembwe za kuhonga alafu wiki ijayo unatuanzishia thread ya uchunaji!!!njooni this week end..nitawapa sitting allowance..mchukueni DA namuona anachungulia chini hapo
Yeah kuna mnada mkubwa sana pale kizota, ukija utamkuta mh.mbunge wa jimbo lako kajaa tele teh!Eti ehhhh?!Nasikia mnada mzuri wa nyama Dodoma...ngoja siku nifuate offer yangu huko!
Ni magazeti ya udaku hayo bwana! Hayana kitu zaidi ya umbea na kufatilia maisha ya watu!Magazeti pendwa sio ya udaku ha ha ha
Heheheh...hao wabunge wananunulia wananchi wao nyama?!Yeah kuna mnada mkubwa sana pale kizota, ukija utamkuta mh.mbunge wa jimbo lako kajaa tele teh!
hahaaaaaa. mbona wabunge wanapewa hii kitu kila siku.nikiwaazishia thread mnisuteHeheheh....unaanza kwa mbwembwe za kuhonga alafu wiki ijayo unatuanzishia thread ya uchunaji!!!
Tusikusute wakati umeyaanzisha mwenyewe??!hahaaaaaa. mbona wabunge wanapewa hii kitu kila siku.nikiwaazishia thread mnisute
Wabunge wanapenda sifa sana, huwa twawapotezea tu! Tuhamie Airtel (kwa saint ivuga) kaja na kitu ya kikongo!Heheheh...hao wabunge wananunulia wananchi wao nyama?!
hakuna kitakacho haribika bibieTusikusute wakati umeyaanzisha mwenyewe??!