Wakuu nimekuwa nikifuatilia Gazeti hili la Raia na nimeendelea kugundua kuwa gazeti hili halina nia nzuri na CHADEMA ninaamini lina makakati wa chini kwa chini wa kuibomoa CHADEMA. Kwa mfano leo limetoka na taarifa yenye kichwa cha habari SPIKA ANNE MAKINDA MATANI.
Baada ya kumalizia kuelezea jinsi Spika alivyojishushia hadhi kwa kushupalia posho gazeti limechomeka kuwa kambi ya upinzani imejadili posho hizo na kutetea posho mpya kwa kumtaja mmoja wa wabunge machachari ambaye pia ni mwanasheria amesema hakuchaguliwa kuwa masikini.
Kilichoniacha hoi zaida ni pale liliposema kuwa wanaopinga suala la posho ni Januari Makamba kwa CCM na Zitto kabwe kwa CHADEMA tu wengine wanawapiga vita, tumekuwatukimsikia John Mnyika ndani ya Bunge na nje ya bunge na Dr Slaa wakisisitiza kupinga ongezeko la posho nguvu zote wala hakuwataja wala hata kuchuakua hatua ya kuwauliza misimamo yao juu ya hayo aliyoandika.
Niwaambie tuu wanapoteza muda wao, sisi Watanzania wa leo si wale wa jana tumeamka kisawasawa tunasoma mapaka nyuso kabla hata hajazungumza.
Baada ya kumalizia kuelezea jinsi Spika alivyojishushia hadhi kwa kushupalia posho gazeti limechomeka kuwa kambi ya upinzani imejadili posho hizo na kutetea posho mpya kwa kumtaja mmoja wa wabunge machachari ambaye pia ni mwanasheria amesema hakuchaguliwa kuwa masikini.
Kilichoniacha hoi zaida ni pale liliposema kuwa wanaopinga suala la posho ni Januari Makamba kwa CCM na Zitto kabwe kwa CHADEMA tu wengine wanawapiga vita, tumekuwatukimsikia John Mnyika ndani ya Bunge na nje ya bunge na Dr Slaa wakisisitiza kupinga ongezeko la posho nguvu zote wala hakuwataja wala hata kuchuakua hatua ya kuwauliza misimamo yao juu ya hayo aliyoandika.
Niwaambie tuu wanapoteza muda wao, sisi Watanzania wa leo si wale wa jana tumeamka kisawasawa tunasoma mapaka nyuso kabla hata hajazungumza.