Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Kutokana na taarifa za sintofahamu zimesababisha nakala zote za gazeti la raia mwema kutoweka katika hali ya kutatanisha kutokana na kuandika habari zinazomuhusu mmoja wa ndugu wa Mbunge wa viti maalum CCM kukamatwa na madawa ya kulevya katika kiwanja cha ndege cha Mwl. J. K. Nyerere.
OMBI. Ninaomba aliye na taarifa ya kilichoandikwa atupie humu.
Update: Nimempigia mtendaji mkuu kasema taarifa zimewamefikia kesho watu wa tabora watalipata gazeti.
OMBI. Ninaomba aliye na taarifa ya kilichoandikwa atupie humu.
Update: Nimempigia mtendaji mkuu kasema taarifa zimewamefikia kesho watu wa tabora watalipata gazeti.